Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,254
Mkuu nitake radhi bana, am not 'FE' am 'ME' please!Dah aisee wewe dada ni hatari sana,una upeo mkubwa ki ukweli.
Mkuu nitake radhi bana, am not 'FE' am 'ME' please!Dah aisee wewe dada ni hatari sana,una upeo mkubwa ki ukweli.
Wakubwa kupandishwa vyeo.Ok,angalia vizuri..baada ya kurudi vitani nini tena kimetokea kati ya picha ya kwanza na ya pili.
mabwanyenye mbali na kwamba wote wako hai bali pia imekula vyeo vya ajabu.Ok,angalia vizuri..baada ya kurudi vitani nini tena kimetokea kati ya picha ya kwanza na ya pili.
Na tena pamoja na ulemavu wao hawatapandishwa vyeo ikiwezekana na kupewa mafao ya kustaafu kabisaPicha 1: Gwaride wakati wakienda vitani wakiwa wazima wa afya na wenye nguvu zao na viongozi wakiwa hawana NYOTA hata moja.
Picha 2: Viongozi wao wanatunikiwa NYOTA na kupandishwa vyeo baada ya washikaji kupigana hadi wengine kupata ulemavu na wengine kufa kwenye majeneza.
Hapo simo mkuu,unaijua adhabu kali ya kijeshi?''Ujinga wenu ndio ufauru wetu wa maisha''
Watafuatilia hadi baaasi.....wanakuja kuyafaidi wajukuuu waoNa tena pamoja na ulemavu wao hawatapandishwa vyeo ikiwezekana na kupewa mafao ya kustaafu kabisa
na wakuu wao wamepata vyeoPicha ya kwanza ni gwaride wakati wakienda vitani wakiwa wazima wa afya na wenye nguvu, picha ya pili wakirudi vitani wengine ni vilema na wengine ni wafu kwenye majeneza!





