The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,381
- 1,760
Ok,angalia vizuri..baada ya kurudi vitani nini tena kimetokea kati ya picha ya kwanza na ya pili.Picha ya kwanza ni gwaride wakati wakienda vitani wakiwa wazima wa afya na wenye nguvu, picha ya pili wakirudi vitani wengine ni vilema na wengine ni wafu kwenye majeneza!
1.I do not mean to be rude,but UKUTA is less concerned.
teh teh....mkuu mi sipo!1.I do not mean to be rude,but UKUTA is less concerned.
Ndo hivyo wamerudi wengine vilema na wengine ni wafu!Ok,angalia vizuri..baada ya kurudi vitani nini tena kimetokea kati ya picha ya kwanza na ya pili.
Dah aisee wewe dada ni hatari sana,una upeo mkubwa ki ukweli.Picha ya kwanza ni gwaride wakati wakienda vitani wakiwa wazima wa afya na wenye nguvu, picha ya pili wakirudi vitani wengine ni vilema na wengine ni wafu kwenye majeneza!
waliopandishwa cheo sio walioenda vitaniOk,angalia vizuri..baada ya kurudi vitani nini tena kimetokea kati ya picha ya kwanza na ya pili.
Nao walikuwa vitani..Si unajua vita ni mipango kuna wanaweka mikakati ambao hukaa ofisini kuumiza vichwa na wanaopambana.Sasa nafikiri wanafanya nchi iweze kushinda ndo aina hiyo ya watu wa kukaa ofisini.waliopandishwa cheo sio walioenda vitani
Halafu vyeo wamepandishwa wakubwa wasiokwenda vitani!Picha ya kwanza ni gwaride wakati wakienda vitani wakiwa wazima wa afya na wenye nguvu, picha ya pili wakirudi vitani wengine ni vilema na wengine ni wafu kwenye majeneza!
1.I do not mean to be rude,but UKUTA is less concerned.