Wakuu nahitaji kiwanja Mwanza au Shinyanga au Nzega. Nakupa Toyota Gaia au Toyota Platz zote zikiwa na mwaka tangu ziingie Tz. Chagua gari kati ya hizo then kama kiwanja kipo vizuri nakuongeza na cash
Nipm
Kila la kheri... Lakini kwanini usiuze gari upate hela ndo ununue kiwanja? Au hayauziki??
Ngoja niangalie atakayekuwa na hiyo bahati mbaya ya kubadilisha dhahabu kwa shanga.....
Kila la kheri... Lakini kwanini usiuze gari upate hela ndo ununue kiwanja? Au hayauziki??
Ngoja niangalie atakayekuwa na hiyo bahati mbaya ya kubadilisha dhahabu kwa shanga.....
Gari ni nzuri. Mimi lengo kiwanja. Hela ukinipa zitaisha kabla kiwanja hakijapatikana
Ka Platz kalivyo kabaya sasa.
Khaaaa............
Labda na yeye anataka kakiwanja kabayaaaa.........
Niwekee vitunguu!
Ka Platz kalivyo kabaya sasa.
Huku hatulimi vitunguu.......
tunalima nguara.......choroko na mbaazi..........nikuletee nini........?..........
Nguara maana ndio naisikia!
Nguara ni hii........
Bora angesema IST au subaru forester...............
Bora angesema IST au subaru forester...............
Hapa Kuna jambo so bureeee.