Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,708
- 12,789
Kitanda kinaanzia futi sita kwa sita na kuendelea, hivyo vingine chini ya hapo ni sehemu ya kujiegesha tuu
Kitanda kinaanzia futi sita kwa sita na kuendelea, hivyo vingine chini ya hapo ni sehemu ya kujiegesha tuu
Ntakudunda wewe! Endelea 😀😀Kumbe haujaolewa mkuu? Basi ngoja tuje
Sikatai mkuu bana! 🤔Ndugu yangu bado unakataa wachumba z sio?
Aki sikuelewa au labda nilikua na usingizi mda huo! Afu unataka unikumbushe nini? 😀😀 siyo mke wa mtu as i said.Kuelewa, umeelewa financial services. Halafu acha uongo kwamba siyo mke wa mtu. Una maana gani unaposema hivyo? Sema hajaja rasmi. Nikukumbushe?
Sasa kwani kuna shida tukija? Acha kujenga ukuta wewe jenga daraja watu tuvuke kukufikia...Ntakudunda wewe! Endelea
Miaka ya nyuma walilalia vitanda vya 3*6, nadhani ilipelekea mahusiano ya wanandoa kudumu, imagine wanakorofishana asubuhi ila usiku ndio hivyo tena kitanda hakiruhusu kila mtu kuchukua upande wake, so wanalala kwa kukaribiana kabisa, na kwakua mablanket yalikua adimu iliwalazimu kukumbatiana kulipunguza. Ndo maana wanandoa zamani walikua na uwezo wa kukorofishana leo ila kesho wakaamka kitu kimoja tena
Hizi 6*6 kiukweli sivielewi, heri 5*6
NB:- I dont stand to be corrected!
Unafahamu chemistry ya kulala na kichanga kitanda kimoja? Au una comment tu.Yaani unalala na mtoto kitanda kimoja, ili iweje?
Labda wengi wamezoea hivyo.