Naitaji bajaji hasa ya abiria used kidogo nikupe kiwanja high density kilichopo shinyanga mjini papale,kilishapimwa hati bado. Mimi siishi huko tena ,aliye seious ani PM
Sasa kwanini usiuze hicho kiwanja ukanunua bajaji mwenyewe?
Hahaha,asiee swali muhim sana
Ila na yeye anaweza kuwa alikiuza kimechelewa,sasa anamtafuta mwenye Bajaji ambae nae pia anauza Bajaji yake imegoma kutoka. Sasa hii Colabo itakuwa nzuri sana kwao