Nionavyo Tena kwenye operation ya Urusi dhidi ya ukraine

Yanahalalisha kwa 100% sababu yanahatarisha usalama wataifa kubwa kabisa ulimwenguni la RUSSIA
Hao manazi yaliopo UKRAINE niyale yenye misimamo mikali kabisa yakufurutu ada ambayo yanatakiwa kuangamizwa kwagharama zozote zile nandio OP inaendelea vyema kama ilivyopangwa
PUT IN kiongozi makini sanaaa
Kweli! Putin hataki kuikaria Ukraine yote, anataka kudhoofisha KIUCHUMI na kijeshi.
Na yale Majimbo yajitawale ikiwemo na kiirejesha Climea isiyo na madahi toka Ukraine.
Ubishi wake tunaona bandari za Maliapol zikishambuliwa na Odesa kuzuia supply za Nato kwa Ukraine.
Asipoangalia itatekwa Kharkive na KWINGINEKO.
Vita sio nzuri ni kuomba Mungu Vita ikwishe.
 
Sahii kabisa
Westerns kwa propaganda wameshindikana

Mpaka nafikiria hata Yale tulioaminishwa na westerns kwamba viongozi Kama kina iddi amini, gadafi, Mobutu walikua viongozi wabaya usikute Ni propaganda TU kwa maslahi Yao.
duh ushavuta mjani

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Hauko peke yako mkuu,
Happy kwenye ukubwa na wingi wa resources mi pia nmepata sababu kwann hawakujishughulisha kuja kuicolonize Africa.

Kila Kitu wao wanacho
walikuwa dhaifu , hoja sio kuwa ni resources ,bali ili ueze kuwa na makoloni mbali na ulaya lazima uwe bora kweny safari za majini

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Ukraine aliigeuza nchi yake kambi ya silaha za marekani na ulaya pamoja na kuanza kujenga maabara za silaha za sumu kwa msaada wa CIA.

Ukraine aligeuzwa dumping ground ya silaha mbalimbali na mafunzo ya kijeshi kwa malengo ya kilevi tu.

Ukraine alishaunda kundi la chama cha manazi na kuanza kuwapa mafunzo ya kigaidi na kijeshi.

Hao manazi siyo watu wa kiwachekea.
hv wanazi mnaezaj watumia kwenye huu mgogoro , Urusi ana kila sifa ya kuitwa wanazi kwa tabia zake za kulazimisha maslai yake kwa majirani zake

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Halafu inaonekana watu wengi hawajui uwezo wa urusi kama wanavozijua marekani na nchi za magharibi.kwa miaka karibu ishirini watu wanasikia habari za marekani tu huko ghuba kama iraki.. libya afghanistan mambo ya osama,korea kaskazini nk lakini habari za urusi hazisikiki kabisa na hawazijui.mimi nilisikiaga zamani habari za jinsi urusi alivyomsimamisha dikteta Hitler wakati akiitafuta uingereza kwenda kuikamata na habari zingine za urusi ni kipindi kile iliposambaratika enzi ya vita baridi chini ya Micael Gorbachev.
kasome vzr historia , Urusi anapenda sifa na hicho ndo kinafanya achukiwe barani ulaya , Urusi anaangalia leo hajui kesho na ndio USSR ilisambaratika kupigana vita bila maslai , hata Urusi itasambalatika kwa kufuata nyayo za USSR , Urusi sidhani km atatoboa miaka 30 lzm ivunjwe maana West wavumilivu mno na hawalazimishi mambo bila kujipa muda wa kufanikisha bila hasara kubwa ,Ile hofu ya West leo Urusi anathibitisha ni kwel walichokuwa wanahofia , Putin muda wwte analamba mchanga so analiachia taifa msala

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Yanahalalisha kwa 100% sababu yanahatarisha usalama wataifa kubwa kabisa ulimwenguni la RUSSIA
Hao manazi yaliopo UKRAINE niyale yenye misimamo mikali kabisa yakufurutu ada ambayo yanatakiwa kuangamizwa kwagharama zozote zile nandio OP inaendelea vyema kama ilivyopangwa
PUT IN kiongozi makini sanaaa
Urusi ana kila sifa ya unazi kwanza kaingiza watoto vitani km Hitler , kuanzisha bila ridhaa ya bunge , kuvamia nchi za jirani yake kisa njaa zake , kutojali utu bali njaa zake binafsib, serikali.kutoheshimu maoni ya wananchi wanaopinga vita badala yake anawafungulia kesi bila shakawatafungwa tu , pia Urusi inafanya vitu bila kujali mwelekeo wa dunia ( barbaric minds ) , Wanaomsapoti Putin ukiwachunguza wana stress za kimaisha , kidini au waathirika wa simuliz hasi za USA

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Uchumi wa Russia unazidiwa na uchumi wa jimbo la Texas la Marekani,Russia siyo super power isipokuwa anasifa ya kuwa ni nuclear power,ili nchi iwe super power inabidi kuwe na uwiano mzuri unaofanana kati ya nguvu za kijeshi na nguvu za uchumi, hapa duniani nchi zinazoqualify kuwa super power ni China na USA,hapa siongelei ushabiki msininukuu vibaya hiyo ni fact.
Ebu tuwekee resources zilizopo hapo texas km sio wa makaratasi jombaa
 
USA yenyewe ni kutoa matamko ya kisiasa tu. yanaweza kuwa au yasiwe km walivo tamka!! kwani unadhani watatamka '' mataifa rafiki wa urusi enedleeni kumuungeni mkono urusi?. big no!.....vitani kuna ma expert wa siasa pia! ..unasikia?

Hizo ni propaganda tu za kumtisha Urusi na wale wanao iamini Urusi na washirika wake ili waendelee kuiogopa na kuihusudu NATO!, Pia Dunia ijue kuwa NATO wana maguvu ya kuwekea Taifa Kubwa lenzao vikwazo nakuliyumbisha kuumbe mavi matupu !!

hakuna cha vikwazo wala dadake vikwazo, Urusi na china ni ma-Taifa kuubwa sana!. changanya na .na nchi zisizo fungamana na upande wowote ziko kwa upande wa Urusi!!.... Mataifa ya Africa njaa sehemu kubwa yako Upande wa Urusi!

Mataifa ya Africa yamechoka na unyonyaji na ubeberu wa kindumila kuwili na maksudi wa kimagharibi! usiokoma!! na wengi humu ni viongozi wapya wa misimamo ya kisasa!! wako tayari kubadili Mkoloni wao !
"mataifa yasiyo upande wowote yapo upande wa Urusi " Elimu Elimu Elimu , hayapo upande wowote ila yapo upande wa Urusi ( Urusi sio upande wowote )

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
"mataifa yasiyo upande wowote yapo upande wa Urusi " Elimu Elimu Elimu , hayapo upande wowote ila yapo upande wa Urusi ( Urusi sio upande wowote )

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Umoja wa Non Aligned Countries!! km Yugoslavia,Tanzania nk, ikiwa ni miongoni mwao!! ni wazi tatizo shule za kayumba ziliwapeleka peleka!! haya huku yajua shukuruuu leo umejua!
 
Urusi ana kila sifa ya unazi kwanza kaingiza watoto vitani km Hitler , kuanzisha bila ridhaa ya bunge , kuvamia nchi za jirani yake kisa njaa zake , kutojali utu bali njaa zake binafsib, serikali.kutoheshimu maoni ya wananchi wanaopinga vita badala yake anawafungulia kesi bila shakawatafungwa tu , pia Urusi inafanya vitu bila kujali mwelekeo wa dunia ( barbaric minds ) , Wanaomsapoti Putin ukiwachunguza wana stress za kimaisha , kidini au waathirika wa simuliz hasi za USA

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Mkuu umemaliza
"Wanaoisaport urusi ukiwachunguza wana stress za maisha, kidini nk"

Huo ndio ukweli
 
Urusi ana kila sifa ya unazi kwanza kaingiza watoto vitani km Hitler , kuanzisha bila ridhaa ya bunge , kuvamia nchi za jirani yake kisa njaa zake , kutojali utu bali njaa zake binafsib, serikali.kutoheshimu maoni ya wananchi wanaopinga vita badala yake anawafungulia kesi bila shakawatafungwa tu , pia Urusi inafanya vitu bila kujali mwelekeo wa dunia ( barbaric minds ) , Wanaomsapoti Putin ukiwachunguza wana stress za kimaisha , kidini au waathirika wa simuliz hasi za USA

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Kunywa maji kwanza MKUU twende pole pole
Mtoto gani aloingizwa vitani na RUSSIA achana na propaganda za biibiisiii
Kama mabunge yenyewe nikama yale ya US yalioamrisha kuvamiwa IRAQ kwamadai ya uongo nikheri yasisikilizwe PUT IN yupo sahihi kwa 100 maana maslahi na usalama wataifa ukihatarishwa unatakiwa ulindwe kwa gharama zozote hata wtu kufa kama UKRAINE basi acha wafe hata wote
Kama maoni ya raia hayana maslahi na yanahatarisha usalama wa taifa la RUSSIA nilazima yadhibitiwe kwanguvu kubwa kwel kwel ikibidi watoaji maoni wanyongwe maana wanatumika
RUSSIA kama taasisi hawauelewi mwendo wa DUNIA halafu wewe unauelewa pole sana RUSSIA wanauelewa mwendo wa DUNIA nandio maana hawajawahi kusapoti mashoga wasagaji nk sababu wanajua DUNIA inatakiwa iende namna gani
Wamsapoti PUT IN kwaajili ya UDINI kwakua PUT IN nimuislam mwenzao wadhehebu gan hizo PROPAGANDA nyengine ambazo mmelishwa PUT IN anasapotiwa sababu anatenda hakki anahurumia wanyonge na akiua anakua na uhakika kwamba anaeuliwa anatakiwa auliwe labda itokee tu bahati mbaya wasaliti lazma wafe na manazi wa UKRAINE lazma wafe hakuna namna yaani lazma wafe
Kweli waathirika wasimulizi hasi kama yale mauaji ya HIROSHIMA na NAGASAKI kuua watu kila pembe ya DUNIA
US anatakiwa alaaniwe nakila kiumbe mpaka samaki kule baharini
Kuisapoti US inayoua watu bila sababu kusapoti UBARADHURI inatakiwa kwanza ujitoe ufahamu au uwe huna akili
4by94

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Urusi ilikurupuka, hasa pale ilipojaribu kusogeza majeshi kuelekea Kyiv kutokea Kaskazini. Imekumbana na changamoto nyingi sana logistically, which means hawakujipanga vyema.

Unafahamu kiasi cha maafisa wa ngazi za juu wa jeshi la Urusi (hao wabobevu unaosema) ambao wamekufa kwenye hii vita mpaka sasa?

Sidhani 'strategically' kama Urusi ilitegemea kupoteza idadi ya maafisa wake wa juu ambayo imekwisha poteza hadi sasa, tena kwa kipindi kifupi.

Matumizi ya silaha vitani yanaendana na mkakati wa utekelezaji wa objectives ulizojiwekea. Pia, mkakati lazima uhusishe kiwango tarajiwa cha upinzani ambacho adui ana uwezo nacho. Kitu ambacho kwa kiasi fulani kilifanyiwa miscalculation na Urusi.
We unajuwa kuliko put in
 
Kunywa maji kwanza MKUU twende pole pole
Mtoto gani aloingizwa vitani na RUSSIA achana na propaganda za biibiisiii
Kama mabunge yenyewe nikama yale ya US yalioamrisha kuvamiwa IRAQ kwamadai ya uongo nikheri yasisikilizwe PUT IN yupo sahihi kwa 100 maana maslahi na usalama wataifa ukihatarishwa unatakiwa ulindwe kwa gharama zozote hata wtu kufa kama UKRAINE basi acha wafe hata wote
Kama maoni ya raia hayana maslahi na yanahatarisha usalama wa taifa la RUSSIA nilazima yadhibitiwe kwanguvu kubwa kwel kwel ikibidi watoaji maoni wanyongwe maana wanatumika
RUSSIA kama taasisi hawauelewi mwendo wa DUNIA halafu wewe unauelewa pole sana RUSSIA wanauelewa mwendo wa DUNIA nandio maana hawajawahi kusapoti mashoga wasagaji nk sababu wanajua DUNIA inatakiwa iende namna gani
Wamsapoti PUT IN kwaajili ya UDINI kwakua PUT IN nimuislam mwenzao wadhehebu gan hizo PROPAGANDA nyengine ambazo mmelishwa PUT IN anasapotiwa sababu anatenda hakki anahurumia wanyonge na akiua anakua na uhakika kwamba anaeuliwa anatakiwa auliwe labda itokee tu bahati mbaya wasaliti lazma wafe na manazi wa UKRAINE lazma wafe hakuna namna yaani lazma wafe
Kweli waathirika wasimulizi hasi kama yale mauaji ya HIROSHIMA na NAGASAKI kuua watu kila pembe ya DUNIA
US anatakiwa alaaniwe nakila kiumbe mpaka samaki kule baharini
Kuisapoti US inayoua watu bila sababu kusapoti UBARADHURI inatakiwa kwanza ujitoe ufahamu au uwe huna akili
4by94

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu huez sema mawazo ya wananchi ya wananchi yanaipotosha nchi halafu mawazo ya msimamia mawazo ya wananchi ndo yawe sahihi , Ndio maana kuna bunge , ni mfumo unaotokana na makosa ya kumpa mtu mmoja madaraka yote akikosea ndo kalipoteza taifa mf Putin , hii vita haitoisha leo wala kesho maana ushindi wa upande wwte hautamaliza uhasama wa vizazi na vizaz huko mbeleni kwa ndugu na jamaa waliopotezwa kwenye vita hiyo bila kusahau kuyumbishwa kiuchumi kwa ukraine hata Urusi pia , visasi vitaendelea kuwepo kwa uchiz wa mtu mmoja tu Putin , USA hatengenez adui mlangoni

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Yanahalalisha kwa 100% sababu yanahatarisha usalama wataifa kubwa kabisa ulimwenguni la RUSSIA
Hao manazi yaliopo UKRAINE niyale yenye misimamo mikali kabisa yakufurutu ada ambayo yanatakiwa kuangamizwa kwagharama zozote zile nandio OP inaendelea vyema kama ilivyopangwa
PUT IN kiongozi makini sanaaa
Hujajibu swali lake kuhusu Wanazi huko Urusi. Ukraine inahatarisha usalama wa urusi kivipi??
Nchi ndogo kuvamia nchi kubwa zaidi ikiwa na makisio ya kijeshi ya asilimia 10 ya Urusi ???
Nani anaweza kuamini hayo?
Hadi juzi hakuna aliyeweza kuwaza udhaifu wa jeshi la Urusi ulioonekana sasa!
Hatari kwa Putin labda ni mfano wa jirani anayeendelea kuliko Urusi wake akifuata mtindo wa demokrasia, ilhali yeye mwenyewe anajenga utawala wake na kujiongezea madaraka na miaka.
 
mkuu huez sema mawazo ya wananchi ya wananchi yanaipotosha nchi halafu mawazo ya msimamia mawazo ya wananchi ndo yawe sahihi , Ndio maana kuna bunge , ni mfumo unaotokana na makosa ya kumpa mtu mmoja madaraka yote akikosea ndo kalipoteza taifa mf Putin , hii vita haitoisha leo wala kesho maana ushindi wa upande wwte hautamaliza uhasama wa vizazi na vizaz huko mbeleni kwa ndugu na jamaa waliopotezwa kwenye vita hiyo bila kusahau kuyumbishwa kiuchumi kwa ukraine hata Urusi pia , visasi vitaendelea kuwepo kwa uchiz wa mtu mmoja tu Putin , USA hatengenez adui mlangoni

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Shida nikwamba munalazima kwamba kila taifa lifuate mfumo munaoutaka
Kama ukisema bunge narudia tena hapa bunge la US halikuidhinisha vita ya IRAQ na US je hao wengi walikua sahihi namaamuzi yakuazimisha vita ile
Wakaiingiza US vitani kwamadai hewa ambayo mpaka leo wameshindwa kuyathibitisha
RUSSIA atakua naurafiki mkubwa kabis na imara na JIRANI zake maana kawatetea sana namateso ya manazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujajibu swali lake kuhusu Wanazi huko Urusi. Ukraine inahatarisha usalama wa urusi kivipi??
Nchi ndogo kuvamia nchi kubwa zaidi ikiwa na makisio ya kijeshi ya asilimia 10 ya Urusi ???
Nani anaweza kuamini hayo?
Hadi juzi hakuna aliyeweza kuwaza udhaifu wa jeshi la Urusi ulioonekana sasa!
Hatari kwa Putin labda ni mfano wa jirani anayeendelea kuliko Urusi wake akifuata mtindo wa demokrasia, ilhali yeye mwenyewe anajenga utawala wake na kujiongezea madaraka na miaka.
Huwa sipendi kujibu koment zako ila acha nikujibu
US alienda kuivamia AFGHANISTAN kwakigezo chakwamba analinda usalama wataifa lake
Kati ya US na RUSSIA nani alikua anahaki hakumvamia alomvamia kwakigezo chausalama je US alokua maelf ya KM kutokea AFGHAN ama RUSSIA alokua KM zero tokea UKRAINE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom