Jacob kalokola
JF-Expert Member
- Mar 26, 2022
- 869
- 2,623
Kweli! Putin hataki kuikaria Ukraine yote, anataka kudhoofisha KIUCHUMI na kijeshi.Yanahalalisha kwa 100% sababu yanahatarisha usalama wataifa kubwa kabisa ulimwenguni la RUSSIA
Hao manazi yaliopo UKRAINE niyale yenye misimamo mikali kabisa yakufurutu ada ambayo yanatakiwa kuangamizwa kwagharama zozote zile nandio OP inaendelea vyema kama ilivyopangwa
PUT IN kiongozi makini sanaaa
Na yale Majimbo yajitawale ikiwemo na kiirejesha Climea isiyo na madahi toka Ukraine.
Ubishi wake tunaona bandari za Maliapol zikishambuliwa na Odesa kuzuia supply za Nato kwa Ukraine.
Asipoangalia itatekwa Kharkive na KWINGINEKO.
Vita sio nzuri ni kuomba Mungu Vita ikwishe.