Kwa hali ilivyo sasa hivi ni Kwamba CCM haiwezi kumfukuza Chenge, Lowasa wala Rostam, kitu kilichokuwa kinapanfwa ni wao kuwaomba hao Jamaa wajitoe. Huu ni Mchezo wa Kuigiza ambao CCM wameshaona itakula kwao maana Pamoja na Kuja na Staili ya Kujivua Gamba naona Sasa wanaitwa Chama Cha Magamba
CCM wanaendelea kunegotiate na RA, EL na AC, wajivue Nyadhifa zao je hii Itasaidia? Asante Dr. Slaa kuliona hili Mapema na Kutibua Mpango Mzima
Huo ni utumwa wa fikra. Kila kitu Dr. Slaa! Tumechoka bootlicking hii iliyopitiliza.