nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,397
Aisee nimefuatilia post zako nafurahi kuwa kuna strong and independent minded women...
Na type hii huwezi pata mume mnyanyasaji...watajichuja wenyewe kabla ya kukusogelea...
Na type hii huwezi pata mume mnyanyasaji...watajichuja wenyewe kabla ya kukusogelea...
so the extra marrital affairs are due to feminism??? have the occurences of extramarital affairs actually increased or have people (especially women) just gotten the power to not put up with it anymore??
watu wanaona sifa kusema "ndoa ya miaka 50". doesnt matter huyo mwanamke alikuwa anachezea kipigo miaka 50. doesnt matter mumewe alikuwa **** nje miaka 50. all it matters ni ndoa imekaa miaka 50.
Mwenyewe mama yangu anaenda miaka 35 ya ndoa. maisha yangu yote nimeshuhudia mama akipigwa na kugombezwa na baba. amd shes a very polite woman by nature. ni kwamba hata simuonei huruma tena whether anapigwa au lah kwasababu nishamwambia hastahili yote hayo. excuse ya kuwa yuko pale kwaajili ya watoto is invalid.
miaka yoote kuinamisha kichwa tuu...kunyamaza tuu....kuwa mpole tuu...hudumia mwanaume tuu...mwanaume asiye na shukrani....halafu mbele za watu utafkiri sio wenyewe. NILIKUWA NAKEREKA.
sasa dawa yao ni kusubiri wazeeke, tuwatengahishe.
BULLSHIT. Me nasema, na zivunjwe tu, manake hakuna namna nyingine.