gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
Wee bi dada kuwa kiakili acha kulalamika lalamika tuu
nilishawaaambia nyie mwali wadogo mnashida sana, huwaga mnataka kuwa rula kwa waume zenu mkasahau nao ni binadamu wana akili na uwezo wao wa kufikiri..................
toka siku ya kanza ulipokuwa unatakana ulishajua kwamba hapa naenda kuish na mtu ambaye si mama wala baba wla si kaka yangu huyu ni mume na kuna changamoto za kuish nae sasa unapoanza kulalamika nakushangaa.
ivi kwan wewe hukutarajia mumeo awe jeuri? ama awe mbinafsi? kwanz ubinafsi ni sifa ya kiume, ukitaka uliza mtu yyte. Umewah kuona mtoto akilia mwanaume akasema lete nimbebe zaid ya kukwambia mpe nyonyo?
afu sijui na wewe umekulia wapi eti unakwenda kushtak ukwen ili iweje? unategema ndugu zake wakutetee wewe badala ya kaka/mtt wao?
ndoa ni kujipanga kiakili zaid na si kimapenzi zaid.
wewe ulizidiwa na nguvu ya kupenda ukasahaua kwamba mumeo anawez akukosea na ukashindw akuvumilia. haudumii familia yake ana hudumia ndguze si wew umwendekeza ukitaka kumwonyesha kwamba anaweza kutunza familia??
ulishakosea approach toka siku ya kwanza................
ushauri wangu kwako ni huu
1. punguza mdomo wa kusema sema na kubishana na mwanaume, manake siku zote ubishan huleta hasira na ndo mwanzo wa kuchezea mbata
2. jifunze kutumia silaha ya kike kwa mumeo, usimfanye kuwa adui yako wala simba ndani mfanye kuwa rafiki ivi mara ya mwisho kumwambia nakupenda mume wangu ni lini?
3. usione msaada anaotoa mumeo kwa ndguze ni makosa, ila ona kama ni jambo la maana ila sasa mtrain kucontribute kwenye maswala ya ndani
4. Sali na omba Mungu zaid kama mwislam nenda kwa mashehe wakusomee dua utoe na sadaka, ili ndoa yako iwe na aman. kama mkristo pia nenda kwa kanisan sali na toa sadaka
5. acha hasira zisizokuwa na sabb kisa mumeo haamki kukusaidia mtt unaona kakosea, wengine tulienda kujifungua weneywe hosp, unapak gari nje unaingia leba na kusukuma, mtu kalala home anakoroma na ukirudi unamwambia laaziz zawadi ya baby boy hiyooo. tena kwa busu zitoo as if ndo alokuja kukuchukua hosp kumbe umekodisha dereva akuendeshe kurudi home
6. acha mawazo potofu na kuona kwamba wewe ndio rula ya kumbadili mumeo, kwan wewe Mungu? let him live his own life kwan lazima kila unachotaka akufanyie afanye.
7. jifunze kua kuna me time na us time. sasa ikiwa ni me time let him enjoy it to the fullest, sio unaanza kumbughudhi
8. jogoo halei eeeh bibie, wee uliona wapi jogoo kalea, ulishawah kuskia weye? ama ng'ombe dume hunyonyesha? sas akama hapana basi na wewe jua malezi ni jukumu lako as mama akifanya kakusaidia tu
9. acha kufananisha maisha yako na ya wenzio, ikiwa kuna mashost wanakusimulia maisha yao wewe usijikompee na yako ishi maisha yako halis
10. taka kuona kila siku unafurahia ndoa yako kuliko mtu baki kukufanya uifurahie, play your part effectively manake ukifanya ivyo basi wewe utakuwa na 50% na yeye akifanya kwa uvivu kabisa akikupa 20% basi tayari ni -B so uko pazuri iyo 30% sio kitu.
11. acha utoto wa kushtak na kuianika ndoa yako kwenye vikao vya ukoo ndiko unakochota haya manuksi namamikosi. adui zako wanapenyezea apo apo na wanafurah sana ukipigika manake wnajihesabia ushindi.
12. ndoa sio gereza bibie, iyo ni taasisi inayounganishwa na upendo kama ukiona humpendi basi achia ngazi bila kutangaza nia.
samahan kama nitakuudhi kwa maneno yangu. na hzi bia za j2 hizi God forbid
nilishawaaambia nyie mwali wadogo mnashida sana, huwaga mnataka kuwa rula kwa waume zenu mkasahau nao ni binadamu wana akili na uwezo wao wa kufikiri..................
toka siku ya kanza ulipokuwa unatakana ulishajua kwamba hapa naenda kuish na mtu ambaye si mama wala baba wla si kaka yangu huyu ni mume na kuna changamoto za kuish nae sasa unapoanza kulalamika nakushangaa.
ivi kwan wewe hukutarajia mumeo awe jeuri? ama awe mbinafsi? kwanz ubinafsi ni sifa ya kiume, ukitaka uliza mtu yyte. Umewah kuona mtoto akilia mwanaume akasema lete nimbebe zaid ya kukwambia mpe nyonyo?
afu sijui na wewe umekulia wapi eti unakwenda kushtak ukwen ili iweje? unategema ndugu zake wakutetee wewe badala ya kaka/mtt wao?
ndoa ni kujipanga kiakili zaid na si kimapenzi zaid.
wewe ulizidiwa na nguvu ya kupenda ukasahaua kwamba mumeo anawez akukosea na ukashindw akuvumilia. haudumii familia yake ana hudumia ndguze si wew umwendekeza ukitaka kumwonyesha kwamba anaweza kutunza familia??
ulishakosea approach toka siku ya kwanza................
ushauri wangu kwako ni huu
1. punguza mdomo wa kusema sema na kubishana na mwanaume, manake siku zote ubishan huleta hasira na ndo mwanzo wa kuchezea mbata
2. jifunze kutumia silaha ya kike kwa mumeo, usimfanye kuwa adui yako wala simba ndani mfanye kuwa rafiki ivi mara ya mwisho kumwambia nakupenda mume wangu ni lini?
3. usione msaada anaotoa mumeo kwa ndguze ni makosa, ila ona kama ni jambo la maana ila sasa mtrain kucontribute kwenye maswala ya ndani
4. Sali na omba Mungu zaid kama mwislam nenda kwa mashehe wakusomee dua utoe na sadaka, ili ndoa yako iwe na aman. kama mkristo pia nenda kwa kanisan sali na toa sadaka
5. acha hasira zisizokuwa na sabb kisa mumeo haamki kukusaidia mtt unaona kakosea, wengine tulienda kujifungua weneywe hosp, unapak gari nje unaingia leba na kusukuma, mtu kalala home anakoroma na ukirudi unamwambia laaziz zawadi ya baby boy hiyooo. tena kwa busu zitoo as if ndo alokuja kukuchukua hosp kumbe umekodisha dereva akuendeshe kurudi home
6. acha mawazo potofu na kuona kwamba wewe ndio rula ya kumbadili mumeo, kwan wewe Mungu? let him live his own life kwan lazima kila unachotaka akufanyie afanye.
7. jifunze kua kuna me time na us time. sasa ikiwa ni me time let him enjoy it to the fullest, sio unaanza kumbughudhi
8. jogoo halei eeeh bibie, wee uliona wapi jogoo kalea, ulishawah kuskia weye? ama ng'ombe dume hunyonyesha? sas akama hapana basi na wewe jua malezi ni jukumu lako as mama akifanya kakusaidia tu
9. acha kufananisha maisha yako na ya wenzio, ikiwa kuna mashost wanakusimulia maisha yao wewe usijikompee na yako ishi maisha yako halis
10. taka kuona kila siku unafurahia ndoa yako kuliko mtu baki kukufanya uifurahie, play your part effectively manake ukifanya ivyo basi wewe utakuwa na 50% na yeye akifanya kwa uvivu kabisa akikupa 20% basi tayari ni -B so uko pazuri iyo 30% sio kitu.
11. acha utoto wa kushtak na kuianika ndoa yako kwenye vikao vya ukoo ndiko unakochota haya manuksi namamikosi. adui zako wanapenyezea apo apo na wanafurah sana ukipigika manake wnajihesabia ushindi.
12. ndoa sio gereza bibie, iyo ni taasisi inayounganishwa na upendo kama ukiona humpendi basi achia ngazi bila kutangaza nia.
samahan kama nitakuudhi kwa maneno yangu. na hzi bia za j2 hizi God forbid