Kuolewa asiye mpango wa MUNGU ni shiidah
Mpango wa Mungu haandikwi usoni mama.. usiseme hivyo
Kuolewa asiye mpango wa MUNGU ni shiidah
Hi,
Iam a mother of 2kids, usiku mmoja mtoto wetu mchanga alilia sana 4 2hrs, ajabu babae kaangalia 2, nikamuuliza kwanini hana huruma kiasi hicho? Mwanae analia hajali anamaanisha nini? hadi mtoto mkubwa(3yrs) aliamka, alinyanyuka kitandani, akaninyakua mtoto akamweka kitandani kisha akanizaba makofi nikaweweseka, nakulia sana, kwahasira nikamwambia naweza nikakuachia mtoto kitandani nikalale sebuleni.
Akaniambia ondoka uone kama sitaweza, roho iliniuma maana mtoto anahitaji msaada yeye analeta ugomvi, tukajibishana usiku huo, sasa ni 2weeks hakuna mawasiliano, nimemwomba anisamehe uenda mi ndio mkosaji, kaniambia tuendelee kulea tu watoto ila mahusiano yetu basi, nikishindwa niondoke.
Sio mlevi nimkorofi, mbinafsi nambishi, kibaya zaidi watoto nahudumia mwenyewe 90% yeye anahudumia nduguze tu, nikilalamika anadai nawachukia nduguze, nifanyeje? Nishamshitakia sana kwa Wakwe kwamambo mengi hadi naona nawakera siishi kumlalamikia kijana wao, Wakwe wanashauri nimvumilie tu eti nimkorofi, je nikae tu kama house keeper?
Dah....nimesikitika sana.labda kweli hajakua lakini pia HAKUNA KITU KINAJUSTIFY DOMESTIC VIOLENCE AISEE!dada usikubali kupigwa au kunyanyaswa mwili na hisia zako.wanaoumia ni wanao kumbuka.mimi nimeishi na kutokea familia ya hivyo.believe you me,HUWASAIDII WANAO,UNAWAUMIZA ZAIDI!!chukua hatua,tena haraka sana!
hakuna anayetaka kukujua.
wewe ukimletea mwanamke jeuri, ANA HAKI YA KUKULETEA JEURI. tutajuana huko polisi.
hata akikosea kukujibu sio kumpiga. ama sivyo na wewe ujitsyarishe kudundwa ukitoa majibu pumba.
mambo ya kuinamisha vichwa ndo inawapa mijanaume ya namna hii confidence. anakupiga mara ya kwanza wewe ndo unaomba msamaha!!! na mara ya pili. na ya tatu...na ndo maisha yanavyokuwa kwako mwanamke.
mwishowe mnasema wanaume ndo walivyo.HAKUNAA. USIINAMISHWE KICHWA UKIPIGWA. utalia peke yako na wanao.
wapi nimeandika ana dada
au ndo yaleyale ya
(huko wapi )
badala ya (uko wapi) sijakuelewa!!!!!!!!
Grow up! How???kulea mtoto ni jukumu la baba na mama. sema ana mchepuko ndio maana anatoa vitisho' wanaume mmezidi'usiombe talaka...
what you need is TO GROW UP........