Nioe yupi

Rafiki, unapoongelea kuoa inamaana kuwa unataka kufanya hatua muhimu katiak maisha, kwa hilo unahitaji kutanya tafakali na kuamua kwa dhati. Mambo ya kupenda au kupendwa ni kawaida, na ni ubinadamu, lakini kujiingiza katika mapenzi au siyo ni busara, kwa maoni yangu, fanya tafakali na uone nani angekufaa maishani kama mke wako and then tuletee mezani washikaji zako hoja zilizokufanya umchague huyo ili tupeane mawazo. Angalia katika maswala ya mapenzi isianguke wala usimwangushe mpenzi wako bali kwa nia safi na moyo dhabiti fanya uamuzi utakaokufaa wewe na yeye, nikmaanisha familia yenu. Hoja sio tu kuwa tayari kuolewa au kuoa isipokuwa kuwa tayari kupokeana na kupeana kama wana ndoa, pole ole ndugu yangu dunia tambala bovu, vibaya ukilivaa litavurika hadhalani...
 

Asante Mji Mkongwe hapa umemaliza kazi ambayo wengi walikuwa wanabangaiza tu,nilichokikusudia ni tabia ambayo umeieleza kwa uwazi kabisa hivyo ichunguzwe tabia za wawili hao na kama ulivyogusia kuwa mdogo anaweza akamshinda mkubwa mpaka mwisho wa maisha ya mmoja ,nimeona hakuna cha sheria wala nini ,ukiangalia sheria zinawabana wanyonge tu ila wenye ugogo wanaweza kufanya watakavyo na hakuna mkondo wala masimbi.
 
Mwiba soma hapa

A schoolgirl who went missing with a 49-year-old man she met on the internet has been found safe and well in France.

Laura Stainforth, 15, from School Walk, Cleethorpes, north east Lincolnshire, was found with Robert Williams in Lille.


Williams was arrested at the scene by French police officers and has been taken in custody. Humberside Police said the arrest was made after Williams and Laura attended the consulate in Lille.

French police officers attended and arrested Williams at the scene before taking him into custody, a spokeswoman for Humberside Police said.

Officers from Humberside Police are currently en route to France to bring Laura back into the country.

Detective Chief Inspector Sharon Fielding said: "It goes without saying, I am delighted that Laura has been found in Lille and we are now working alongside French authorities and Laura's family to ensure that she arrives back in the country as soon as possible and returns to her family. There is still a lot of work to be done, however, and we are working to ensure the extradition of Williams.

"I would like to thanks all of the members of public who assisted by reporting numerous sightings of Laura - one of which led us to locating Laura in Lille - and would also like to thank the local, national and European media for their help in facilitating our appeals."

Laura went missing on Wednesday last week after leaving her home at around 3.30pm to go to the shops. She was reported missing by her family at 9.23pm.

The teenager and Williams were captured on CCTV footage at Grimsby railway station on Wednesday evening. Detectives believe they took a train to Doncaster, South Yorkshire, before travelling to London, and on to Dover.

Laura was then spotted by a member of the public in Dover on Thursday and was later seen on the Pride of Kent ferry, which was travelling from Dover to Calais, that afternoon.

Source: Press Association, Wednesday January 21 2009
 
Mwiba huu utaratibu naona upo visiwani tu huku bara utafungwa kama ukioa mtoto wa miaka 15....LOL
 
Ni vyema kama huyu binti akiendelea na/au kupewa nafasi ya kusoma zaidi. Marrying her right now will cut off her chances for education, advancement and a full life. Furthermore, at 42, this guy is actually her father!
 

...dah, ama mwenye njaa hana miiko, panatafutwa kila hila almuradi mlo uhalalishwe!

Tabia hubadilika yakhe,...!
 
Ni vyema kama huyu binti akiendelea na/au kupewa nafasi ya kusoma zaidi. Marrying her right now will cut off her chances for education, advancement and a full life. Furthermore, at 42, this guy is actually her father!

Sawa sasa unamwacha halafu baada ya wiki unakuja kusikia mwenzako ameshaoa na hakuna sheria wala katiba ,utasemaje ? Halafu sheria ya Tz inaruhusu mwenye mimba kusoma.
 
Miaka 15 mbona safi tuu, house girl 12 wanabaka vizee vya miaka 55yrs na inaingia vizuri bila kikwazo
 
Umeongea sahihi sana.

Kumuozesha mtoto wa miaka 15 ni kumdhulumu.

Kwanza hana maamuzi yake binafsi bali anaamuliwa

Pili ni hatari kwa afya yake ikitokea amebeba mimba kwa umri huo, kujifungua salama ni kwa neema ya mungu tu na si vinginevyo. Kuna uwezekano mkubwa wa kupoteza maisha wakati wa kujifungua kwa sababu nyonga zake hazijatanuka.

Tatu hawezi kuhimili mikiki mikiki ya ndoa, lakini amefaulu kwa nini asiendelee na elimu?

My point mtoto aachwe asome atimize ndoto zake, kama ni lazima sana kuoa kati ya hao wawili waliotajwa kwenye uzi basi aolewe huyo mwalimu mwenye miaka 23.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unajua kupigwa vyupi oa! km hujui acha! ole wako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…