Bado mkuu sijakaa vizuri kiuchumi bado napambana.Anza kujenga chief ila Kama una mchumba mwenye hofu ya Bwana ya kweli na heshima mtambulishe kwa ndugu zako na pia muaminishe kwamba utamuoa hivi karibuni,mambo yakikaa sawa...
Nb: kama kiuchumi upo vzuri muoe huyo mwanamke niliokuambia hapo juu haraka sanaaa
Jenga kwanza, utakuja kunishukuru baadae.Wapendwa Habari za wakati huu!!
MUNGU ni mwema anazidi kutupigania siku zote.
Sifa na utukufu vimrudie yeye
Kuna kitu naomba ushauri wenu wapendwa katika hili, nipo na umri miaka 27 sijaoa na wala sina mchumba nipo nimepanga ,, MUNGU kanisaidia katika kupambana katika kazi huku na kule nimefanikiwa kupata kiwanja japo ni kidogo lakini cha kuanzia maish.
Niliwaza saana kuhusu kodi ninazo mpa mwenye nyumba nikapata uchungu hapa namfaidisha mwenye nyumba japo naishi kwake,,Basi ndo hivyo MUNGU akanijalia kwa mapenzi yake.
MSAADA:
Nimewaza na kuwazua kati ya haya mawili lipi litangulie,,japo sina kipato kikubwa saaana cha kusema naweza kufanya kati ya kimoja wapo kwa mkupuo hapana bali ni kujichanga taratibu maaana ni mimi kama mimi najitagemea.
Na mnavyojua ujenzi ni taratibu na hasa kama kipato ni cha kuunga
Je, wakuu niendelee kupambana tu ili nijenge hata chumba kimoja cha kuanzia ama nioe kabla sijajenga?
Ushauri wenu wakuu ili nifanye maamuzi sahihi kwanza.
MUNGU awabariki!
Daah pole saana,,maana ukiwa kwenye upangaji ukawa na familia hafu kipato ndo hivyo hakika kusave pesa kwaajili ya kujenga kuna ugumu haswaaa.Sure! hii ni kutokana na Maisha.
Hata mimi ningegundua ningalijenga kwanza.
Nimekuja kujenga nikiwa na familia kwa tabu sana
Sawasawa mkubwa, wewe jenga.Mmh ,,,kugawana sidhani
Vyote kwa pamoja, ila kuoa ni muhimu zaidi kuliko kujenga, kwa kuwa nyumba za kupanga zipo.Wapendwa Habari za wakati huu!!
MUNGU ni mwema anazidi kutupigania siku zote.
Sifa na utukufu vimrudie yeye
Kuna kitu naomba ushauri wenu wapendwa katika hili, nipo na umri miaka 27 sijaoa na wala sina mchumba nipo nimepanga ,, MUNGU kanisaidia katika kupambana katika kazi huku na kule nimefanikiwa kupata kiwanja japo ni kidogo lakini cha kuanzia maish.
Niliwaza saana kuhusu kodi ninazo mpa mwenye nyumba nikapata uchungu hapa namfaidisha mwenye nyumba japo naishi kwake,,Basi ndo hivyo MUNGU akanijalia kwa mapenzi yake.
MSAADA:
Nimewaza na kuwazua kati ya haya mawili lipi litangulie,,japo sina kipato kikubwa saaana cha kusema naweza kufanya kati ya kimoja wapo kwa mkupuo hapana bali ni kujichanga taratibu maaana ni mimi kama mimi najitagemea.
Na mnavyojua ujenzi ni taratibu na hasa kama kipato ni cha kuunga
Je, wakuu niendelee kupambana tu ili nijenge hata chumba kimoja cha kuanzia ama nioe kabla sijajenga?
Ushauri wenu wakuu ili nifanye maamuzi sahihi kwanza.
MUNGU awabariki!