Nioe au nijenge kwanza?!

Nioe au nijenge kwanza?!

Anza kujenga chief ila Kama una mchumba mwenye hofu ya Bwana ya kweli na heshima mtambulishe kwa ndugu zako na pia muaminishe kwamba utamuoa hivi karibuni,mambo yakikaa sawa...
Nb: kama kiuchumi upo vzuri muoe huyo mwanamke niliokuambia hapo juu haraka sanaaa
Bado mkuu sijakaa vizuri kiuchumi bado napambana.
 
Wapendwa Habari za wakati huu!!
MUNGU ni mwema anazidi kutupigania siku zote.
Sifa na utukufu vimrudie yeye

Kuna kitu naomba ushauri wenu wapendwa katika hili, nipo na umri miaka 27 sijaoa na wala sina mchumba nipo nimepanga ,, MUNGU kanisaidia katika kupambana katika kazi huku na kule nimefanikiwa kupata kiwanja japo ni kidogo lakini cha kuanzia maish.

Niliwaza saana kuhusu kodi ninazo mpa mwenye nyumba nikapata uchungu hapa namfaidisha mwenye nyumba japo naishi kwake,,Basi ndo hivyo MUNGU akanijalia kwa mapenzi yake.

MSAADA:
Nimewaza na kuwazua kati ya haya mawili lipi litangulie,,japo sina kipato kikubwa saaana cha kusema naweza kufanya kati ya kimoja wapo kwa mkupuo hapana bali ni kujichanga taratibu maaana ni mimi kama mimi najitagemea.

Na mnavyojua ujenzi ni taratibu na hasa kama kipato ni cha kuunga

Je, wakuu niendelee kupambana tu ili nijenge hata chumba kimoja cha kuanzia ama nioe kabla sijajenga?

Ushauri wenu wakuu ili nifanye maamuzi sahihi kwanza.
MUNGU awabariki!
Jenga kwanza, utakuja kunishukuru baadae.
 
Sure! hii ni kutokana na Maisha.
Hata mimi ningegundua ningalijenga kwanza.
Nimekuja kujenga nikiwa na familia kwa tabu sana
Daah pole saana,,maana ukiwa kwenye upangaji ukawa na familia hafu kipato ndo hivyo hakika kusave pesa kwaajili ya kujenga kuna ugumu haswaaa.
 
Wapendwa Habari za wakati huu!!
MUNGU ni mwema anazidi kutupigania siku zote.
Sifa na utukufu vimrudie yeye

Kuna kitu naomba ushauri wenu wapendwa katika hili, nipo na umri miaka 27 sijaoa na wala sina mchumba nipo nimepanga ,, MUNGU kanisaidia katika kupambana katika kazi huku na kule nimefanikiwa kupata kiwanja japo ni kidogo lakini cha kuanzia maish.

Niliwaza saana kuhusu kodi ninazo mpa mwenye nyumba nikapata uchungu hapa namfaidisha mwenye nyumba japo naishi kwake,,Basi ndo hivyo MUNGU akanijalia kwa mapenzi yake.

MSAADA:
Nimewaza na kuwazua kati ya haya mawili lipi litangulie,,japo sina kipato kikubwa saaana cha kusema naweza kufanya kati ya kimoja wapo kwa mkupuo hapana bali ni kujichanga taratibu maaana ni mimi kama mimi najitagemea.

Na mnavyojua ujenzi ni taratibu na hasa kama kipato ni cha kuunga

Je, wakuu niendelee kupambana tu ili nijenge hata chumba kimoja cha kuanzia ama nioe kabla sijajenga?

Ushauri wenu wakuu ili nifanye maamuzi sahihi kwanza.
MUNGU awabariki!
Vyote kwa pamoja, ila kuoa ni muhimu zaidi kuliko kujenga, kwa kuwa nyumba za kupanga zipo.
 
Kabla ya kumvutavmwanamke kuishi nae,jiweke vizuri kwanza.
Jenga jenga mkuu
Sawa mkuu ,,,maana nikijenga kwa wakati huu ni vizuri kabla sijapata majukumu mengi zaidi
 
Back
Top Bottom