Nioe au nijenge kwanza?!

Nioe au nijenge kwanza?!

Hata ndege wa angani uanza kujenga kiota kisha ndio utaga....jenga kijana ukipata makazi ya kudumu hata amani moyoni hutamalaki, ukija kuoa hata vita vya kimaisha huwa sio vikali sana.
haya maisha haya jua likizama halafu pa kuweka ubavu huna uhakika napo inaumiza sana.
 
Mkuu Hongera sanaa.. Umekua sàsa... Bur nikushauri kitu... kulingana na umri wako ni umri sahihi wa kuoa but kama huna mchumba anza kwanza kujenga but usiende kasii... Jenga kulingana na uwezo wako yaani Pole Pole... Ndoa zina changamoto zake na Faida yale mimi sikuwa na mipango but kilicho nisukuma ni kupenda chini... so ilivuruga mipango mingi But kwanza nikuomba mungu upate mke mwelewa na mwenye akili ya maisha na mwenye hofu ya mungu.. Tatizo ni kumpata mwenye vigezo tajwa hapo juu..
Kigezo cha uzuri sijaweka coz kila mtu ana jicho lake...
Amina saaaan mkuu,,, inatakiwa kufunga maombi kabisa mkuu kumpata mke sahihi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ndege wa angani uanza kujenga kiota kisha ndio utaga....jenga kijana ukipata makazi ya kudumu hata amani moyoni hutamalaki, ukija kuoa hata vita vya kimaisha huwa sio vikali sana.
haya maisha haya jua likizama halafu pa kuweka ubavu huna uhakika napo inaumiza sana.
Ni kweli kabisa,,maana pakuweka ubavu ni pamuhimu saan,unajikuta una familia kubwa na kuweka akiba ya kujenga inakuwa changamoto,labda kama upo site nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jenga kwanza dogo... Me nakumbuka umri wako nilianza kujenga now Niko 30 nimemaliza asilimia 98 na nimeshahamia tayari xo ndio mawazo ya kuoa yanaanza Kuja
 
Back
Top Bottom