Utajenga sawa, ila sio nyumba ya ndoto yako, baadaye majirani zako wakija kuporomosha mijengo ya maana utatamani uhame ukapange au uuze, fikiri upya hulazimishwi, ya kuambiwa changanya na yako.Nataka nijenge kabla vitu vingi havijaingiliana,,itajikuta unahama kila mara katika nyumba za kupanga mkuu
Ni kweli lakini pia unauwezo wakununua sehemu nyingine kwa baadae inategemea na malengoUtajenga sawa, ila sio nyumba ya ndoto yako, baadaye majirani zako wakija kuporomosha mijengo ya maana utatamani uhame ukapange au uuze, fikiri upya hulazimishwi, ya kuambiwa changanya na yako.
Ni swali mkuu.Ni kama swali la Nianze Sai au Nkate? (In Jangala's voice).
Naaam mkuu,,,kiwanja kipo tayari na nikweli kujenga kwanzaSasa Kama huna mchumba unamuoa nani? Si Bora ujengage tu maana kiwanja ndo kipo tayari
Kuoa na kujenga havihusianiWapendwa Habari za wakati huu!!
MUNGU ni mwema anazidi kutupigania siku zote.
Sifa na utukufu vimrudie yeye
Kuna kitu naomba ushauri wenu wapendwa katika hili, nipo na umri miaka 27 sijaoa na wala sina mchumba nipo nimepanga ,, MUNGU kanisaidia katika kupambana katika kazi huku na kule nimefanikiwa kupata kiwanja japo ni kidogo lakini cha kuanzia maish.
Niliwaza saana kuhusu kodi ninazo mpa mwenye nyumba nikapata uchungu hapa namfaidisha mwenye nyumba japo naishi kwake,,Basi ndo hivyo MUNGU akanijalia kwa mapenzi yake.
MSAADA:
Nimewaza na kuwazua kati ya haya mawili lipi litangulie,,japo sina kipato kikubwa saaana cha kusema naweza kufanya kati ya kimoja wapo kwa mkupuo hapana bali ni kujichanga taratibu maaana ni mimi kama mimi najitagemea.
Na mnavyojua ujenzi ni taratibu na hasa kama kipato ni cha kuunga
Je, wakuu niendelee kupambana tu ili nijenge hata chumba kimoja cha kuanzia ama nioe kabla sijajenga?
Ushauri wenu wakuu ili nifanye maamuzi sahihi kwanza.
MUNGU awabariki!
Nimecheka sana, kwahiyo umechoka kuwapa elimu? Wanaitafuta stroke kwa nguvu zote.oa kwanza
mke huleta mafanikio na milango mingi huanza kufunguka na utajenga fasta hadi utashangaa
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Nimecheka sana, kwahiyo umechoka kuwapa elimu? Wanaitafuta stroke kwa nguvu zote.
Sasa kiwanja chenyewe kisiwe kerege itakuwa ni mtihani mwingine, labda useme wazi kiwanja kipo wapi upate ushauri mtambuka.
Kwa nini mnapenda kudanganya vijana wadogo badala ya kuwaeleza ukweli?Ukipata mtu mnaoendana pamoja, mnaweza kujenga pamoja. Ila usali sana ili umpate mtu wa namna hiyo. Mchakarikaji kama wewe.