Nioe au nijenge kwanza?!

Nioe au nijenge kwanza?!

Sasa wewe miaka 27 unakimbilia wapi. Jenga kwanza kama umepata nafasi.
Mda wa kuoa ukifika huta thubutu hata kuomba ushauri.
 
Jenga kwanza usije kuambiwa tulijenga wote tugawane pasu kwa pasu
 
Unaishi peke yako ila unataka kujenga coz unapata uchungu kwa kuona kua kodi unayolipa unamfaidisha mwenye Nyumba tu,

Halafu unatuuliza Ujenge au uoe kwanza? Serious? Kwani ukioa huo uchungu wa kodi unayolipa utaisha?

Jenga kwanza ili umalize uchungu wa kulipa kodi,ama sivyo utajikuta una uchungu wa mambo mawili kwa pamoja,uchungu wa ndoa na uchungu wa kulipa kodi.
Daaahh hakika hapo nikuongeza majanga
 
Back
Top Bottom