Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Nimekuwa nikifuatilia ubora wa TV za mkulima ila nimebaini TCL na Blackstone naona kama zipo juu, sasa hapa nimeshindwa kufanya uamzi nichukue ipi?
Naomba ushauri wenu, nichukue ipi na bei kwa size 24 na 32 ni ipi?
Naomba ushauri wenu, nichukue ipi na bei kwa size 24 na 32 ni ipi?