Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,489
note 5 haikuwa na mbadala wake kwenye edge kwa jina la note 5 bali iliitwa s6 edge plus.Note 5 ilitoka note edge kama mbadala wake.....
note 5 haikuwa na mbadala wake kwenye edge kwa jina la note 5 bali iliitwa s6 edge plus.Note 5 ilitoka note edge kama mbadala wake.....
Msaada simu yangu ina virusMpaka maamuzi ya kununua cmu unakuja kuomba ushauri jf!!? Ulishafeli maisha wewe

Naweza kupata whatsapp newest version?Mpaka maamuzi ya kununua cmu unakuja kuomba ushauri jf!!? Ulishafeli maisha wewe

Hahaa anajifanya mjanja kumbe naye bado anaomba ushauri JF

kwa hela iyo tafuta Samsung galaxynote 2.hutajuta mkuu200k-300k
Hahaaaaa.....umemuweza kweliiiii
Mtafte jamaa anajiita mtengwa humu alileta j5 kama sita ashauza amebaki na moja ni j5 boxed sealed. Kwa hiyo 300 ukimshawishi anaweza kukuuzia au hata ukaongeza kidogo
Mpaka maamuzi ya kununua cmu unakuja kuomba ushauri jf!!? Ulishafeli maisha wewe

Umesha tumia simu gani mpya ya samsung iliyopoteza ubora. Au ulipigwa cloneNahitaji simu yenye kuanzia 16 gb na yenye camera nzuri yani high quality ya ukweli. Iwe laini mbili lakini sio tecno.
Naombeni mnishauri aina gani ndo itanifaa kutokana na specs zangu hapo. Pia budget yangu iko kawaida(i cant afford iphone wala samsung s5 kuendelea)
Nilitaka kuchukua huaweii y6 pro ila kuna mtu akanambia eti 16gb unaeza ona ni nyingi lakini kati ya hizo either 4gb au 8gb inakua occupied na system ya simu halafu wanakuachia hizo gb chache zilizobaki for your own use.
Samsung nao naona kila wakitoa simu mpya basi camera ya simu za nyuma inapoteza ubora.
Ndio naitumia mm hyo ipo vyema snaUngeongeza pesa around 400,000 uchukue Infinix note 3.Hutojuta mkuu!
Am curious of ur phone!!..ni cm gan iyo??Aisee we nenda kanunue Tecno
Coz carcare zao zinapatakina kwa wingi
Mi sina hofu na simu yangu coz ikitokea Emergency labda ikapasuka kioo
Basi naenda kwao wanaweka kioo kipya bureeeee kabisa
Lakini under dat condition isiwe imefungulia na mafundi wengine
Mpaka maamuzi ya kununua cmu unakuja kuomba ushauri jf!!? Ulishafeli maisha wewe
Chief..vip..naomba maelezo kuhusiana HUAWEI MATE8s5 ni waterproof, sema simu used achana na hii mambo utaingiza kwenye maji halafu ife hapo hapo, waterproof inataka warranty.
4g na lte ni kitu kimoja mkuu, 4g ni generation ya nne ya mtandao wa simu na LTE ni technology ambayo ime meet standard ya 4g.
kwenye 3g kulikuwa na WCDMA, HSPA, EVDO, HSPA+ etc
na 4g ina LTE na LTE advanced na wengine
2G ina gprs, cdma, edge etc
maelezo ya vipi?Chief..vip..naomba maelezo kuhusiana HUAWEI MATE8
Hahaaa.....dogo hatudi tena umemuweza
