Ninunue simu ipi

Nashukuru mkuu japo weakness.zake.hazina.waterproof na je? kuna utaofuti gani kati ya LTE na 4g mkuu hiki kitu nacho nashindwaga kutofautisha!
s5 ni waterproof, sema simu used achana na hii mambo utaingiza kwenye maji halafu ife hapo hapo, waterproof inataka warranty.

4g na lte ni kitu kimoja mkuu, 4g ni generation ya nne ya mtandao wa simu na LTE ni technology ambayo ime meet standard ya 4g.

kwenye 3g kulikuwa na WCDMA, HSPA, EVDO, HSPA+ etc

na 4g ina LTE na LTE advanced na wengine

2G ina gprs, cdma, edge etc
 
s5 ni waterproof, sema simu used achana na hii mambo utaingiza kwenye maji halafu ife hapo hapo, waterproof inataka warranty.

4g na lte ni kitu kimoja mkuu, 4g ni generation ya nne ya mtandao wa simu na LTE ni technology ambayo ime meet standard ya 4g.

kwenye 3g kulikuwa na WCDMA, HSPA, EVDO, HSPA+ etc

na 4g ina LTE na LTE advanced na wengine

2G ina gprs, cdma, edge etc
Dooh bonge la somo mkuu ahsanteh san mkuu
 
bc2321000e288791171b309d8c46c9b1.jpg
Hii s5 Ni model gan
 
Hapana sio lazima nipate Htc,naomba nishauri nyingine..
flagship za mwaka jana zisizotumia snapdragon zitakufaa kwa budget hio, tafuta simu kama hizi
-samsung galaxy s6
-samsung galaxy note 5
-huawei mate 8
 
Nahitaji simu yenye kuanzia 16 gb na yenye camera nzuri yani high quality ya ukweli. Iwe laini mbili lakini sio tecno.

Naombeni mnishauri aina gani ndo itanifaa kutokana na specs zangu hapo. Pia budget yangu iko kawaida(i cant afford iphone wala samsung s5 kuendelea)

Nilitaka kuchukua huaweii y6 pro ila kuna mtu akanambia eti 16gb unaeza ona ni nyingi lakini kati ya hizo either 4gb au 8gb inakua occupied na system ya simu halafu wanakuachia hizo gb chache zilizobaki for your own use.

Samsung nao naona kila wakitoa simu mpya basi camera ya simu za nyuma inapoteza ubora.
Km unataka cm ya ukweli epuka doble line, na km bajeti yako inaruhusu simu zisizo na masahaka ni iphone na samsung (za ukweli) namaanisha nenda dukani moja kwa moja kwa ma-dealer wao, ogopa vishoka
 
flagship za mwaka jana zisizotumia snapdragon zitakufaa kwa budget hio, tafuta simu kama hizi
-samsung galaxy s6
-samsung galaxy note 5
-huawei mate 8
Shukrani sana chief,ingawa umeniacha kwa hizo terminologies
 
Shukrani sana chief,ingawa umeniacha kwa hizo terminologies

simu bora ya mwaka ya kampuni ndio inaitwa flagship, na snapdragon ni processor maarufu zaidi za simu lakini mwaka jana walifeli walitoa cpu zinazopata joto sana, ndio maana sijakushauri HTC M9 ambayo ipo ndani ya budget yako sababu inapata sana joto.

galaxy s6, note 5 na mate 8 hazitumiii hio snapdragon hivyo hazikuathirika na tatizo hilo la kupata joto sana
 
simu bora ya mwaka ya kampuni ndio inaitwa flagship, na snapdragon ni processor maarufu zaidi za simu lakini mwaka jana walifeli walitoa cpu zinazopata joto sana, ndio maana sijakushauri HTC M9 ambayo ipo ndani ya budget yako sababu inapata sana joto.

galaxy s6, note 5 na mate 8 hazitumiii hio snapdragon hivyo hazikuathirika na tatizo hilo la kupata joto sana
Shukrani saana Chief kwa ufafanuzi,na moyo wa kujitolea. Mungu akubariki!
 
s ni 2010
s2 ni 2011
s3 ni 2012
s4 ni 2013
s5 ni 2014
s6 ni 2015
s7 ni 2016
s8 itakuwa 2017

note 1 yenyewe ilianza 2011
note 2 ni 2012
note 3 ni 2013
note 4 ni 2014
note 5 ni 2015
note 6 ilirukwa
note 7 iliokuwa discontinued ni 2016

hakuna njia maalum ya kuzijua, just google simu husika halafu angalia result ya gsmarena wanaandika simu imetoka lini
Note 5 ilitoka note edge kama mbadala wake.....
 
Back
Top Bottom