Docteur
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 240
- 233
Asante Mkuu.s ni 2010
s2 ni 2011
s3 ni 2012
s4 ni 2013
s5 ni 2014
s6 ni 2015
s7 ni 2016
s8 itakuwa 2017
note 1 yenyewe ilianza 2011
note 2 ni 2012
note 3 ni 2013
note 4 ni 2014
note 5 ni 2015
note 6 ilirukwa
note 7 iliokuwa discontinued ni 2016
hakuna njia maalum ya kuzijua, just google simu husika halafu angalia result ya gsmarena wanaandika simu imetoka lini
Nilielewa kwamba S5 inaweza kuwa inatoka hadi sasa. Hivo S5 ya mwaka 2014 ikawa tofauti na 2016.
Barikiwa sana Chief.