Ninunue modem gani ?

Ninunue modem gani ?

Hii ni kwenye Simu tu...
Sio kweli, mimi huwa natumia hizo 400mb kwa buku 2500 kwenye modem yangu ya zain.
Andika neno "internet" kwenda 15444 halafu reply kwa neno 'yes'
Baada ya hapo unakula mzigo kama kawa.
 
nakushauri ununue modem za zain au voda kwa kuwa unaweza kuzi unlock na kutumia line za mitandao mingine.
Lakini modem za zantel zinatumia line ambazo ni built in, na huwezi kuswap lines
 
buy vodacom ama zain,but iwe ya huawei,
since ni easy kuchakachua na utaweza kuweka laini yoyote,
 
jamani mwenzenu kwenye tuta modem yangu ni
ZTE
K3565-Z
IMEI:353462042118310
 
jamani mwenzenu kwenye tuta modem yangu ni
ZTE
K3565-Z
IMEI:353462042118310
nahitaji code za kuflash na ku unlock
 
Let me plead my case against ZANTEL as a ZANTEL USER MYSELF

PROS:-
kwa sasa Zantel wako faster (but until when) sababu bado hawana wateja wangi kama hao providers wengine am sure watu wengi in the future wakijoin Zantel speed itapungua

CONS:-
  • Sababu huwezi kuiflash zantel kutumia voda au celtel hii inaamanisha siku zantel wakiboronga you are stack
  • Zantel kupata the best package inabidi huwe Highlife ambapo unapewa 2gb per week tatizo ni kwamba hizi zikiisha huwezi kurenew kabla wiki haijaisha... so whats the point of having all this speed ambapo kama utamaliza hii package huwezi renew
  • kuna sehemu Zantel haipatikani vizuri
  • Kama Zantel ikiwa na matatizo mfano kuna siku ilikuwa down kwa 24 hours then your are in for it.....
  • Zantel anytime wanaweza wakabadilisha package kuna wakati walisema kupata highlife internet 10,000/= per week mpaka utumie 5,000/= a week kwenye simu... hii iliniuzi sana nikawapigia customer care na kuja juu sana (na kuwaambia wakiendelea hivi wataloose customers sababu for 15,000/= you can get a better package with zain 3gb)... palikuwa hapatoshi... wakasema kwamba hii issue wataifanyia kazi, na wataongea na maboss wao.... ila mpaka sasa am only using 10,000/= a week sijui kama walibadilisha huu mpango wao au wamenisahau
CONCLUSION SABABU YA UWEZEKANO WAKUFLASH ZAIN/VODA HII INAFANYA ANY OF THE PREVIOUS IWE BETTER THAN ZANTEL


naomba usome post yangu hapo juu.

Je bado unadhani wapo poa sana?
 
Mi naona voda is the best, kwa kutumia package yao ya unlimited (free download and upload) ya Tsh, 30,000 kwa siku 30.
Package hii haina limit ya download limit na usiku unapata 512Kps ambayo inaweza download kwa speed ya 60KBps. Movie ya 700mb ni masaa 3 tu usiku.

Kama unataka speed zaidi ni Tsh 60,000 unlimited download.
 
Mi naona voda is the best, kwa kutumia package yao ya unlimited (free download and upload) ya Tsh, 30,000 kwa siku 30.
Package hii haina limit ya download limit na usiku unapata 512Kps ambayo inaweza download kwa speed ya 60KBps. Movie ya 700mb ni masaa 3 tu usiku.

Kama unataka speed zaidi ni Tsh 60,000 unlimited download.

Sijui kuhusu sasa lakini hiyo unlimited download ni changa la macho huwa wanakuwa wanakata kata connection...., anyway the best ni kuchukua either voda au zain na kuiflash ili uweze kutumia line ya voda kama ni zain au vice versa
 
kwa vile ni cdma hata ukitoka nje ya mji. mtwango ni ule ule tu...........high speed
ila hawa wengine ukitoka tu imekula kwako tena bila ya mboga ....... :biggrin1:
 
Back
Top Bottom