ya zain maana 400mb ni 2500 na usiku ni bure
Tafuta kuna Post hapa alishapost mdau mmoja inaonyesha jinsi ya kuflash au ukishanunua ukituma namba zake hapa wadau watakupa codes za kuiflash...Duh, wajumbe bado nahitaji mawazo zaidi @VoiceOfReaso
hapo ya zain unai flash vp? kwenye komputa kama wafanyavyo mafundi simu au?
mkuu za zain e220 uwezi kutoa kwa code mpaka kwa kuflash mkuu calvin power alishatoa software yake nenda kwenye dowunlod utaionaukishanunua modem yako ya zain tuna namba ya modem yako hapa https://www.jamiiforums.com/technol...-huawei-modem-unlocking-codes-request-11.html
hawa jamaa watakupa code za kuiflash
ya zain maana 400mb ni 2500 na usiku ni bure
Chukua Zantel ina speed ya hali ya juu kuliko zote hapo juu.
Kama unaishi mbali na maeneo ya mjini yaani mwisho ubungo, mwenge, buguruni usichuku sasa tel maana inaishia maeneo hayo kushika
Hii ni kwenye Simu tu...
ni kweli sasatel network yao kmeo ila nilikuwa kitunda nikapata net cjui wameongeza maeneo
Chukua Zantel ina speed ya hali ya juu kuliko zote hapo juu.
Kama unaishi mbali na maeneo ya mjini yaani mwisho ubungo, mwenge, buguruni usichuku sasa tel maana inaishia maeneo hayo kushika
Zantel wapo fasta unagusa tu kitu tayari
Chukua Zantel ina speed ya hali ya juu kuliko zote hapo juu.
Kama unaishi mbali na maeneo ya mjini yaani mwisho ubungo, mwenge, buguruni usichuku sasa tel maana inaishia maeneo hayo kushika
My advice is Zantel CDMA which you buy for 49,900 and you can subscribe 2GB for only 10,000 per week,the speed is stable comparing to GSM modems ambazo kuna sehemu unapata 3G na maeneo mengi nje ya mji unapata EDGE/GPRS which is relatively slow and boring speed
Zantel wapo fasta unagusa tu kitu tayari