Naishi singo sijaoa mkuu
Ushauri m bovuNunua gari.Gari n habari ya mjn wewe.Kazi usafir muhimu, ukijenga nyumba utapanda punda?
Tafuta pesa kwa hiyo gari.Ukiwa na pesa nyumba unamvua hata mtu.
Kujenga nyumba ni sawa na kuizika pesa Milion 10 yako saiv.Acha woga.
mkuu kwani ushawahi Kulala nje kisa huna nyumba ya Kulala hapa jibu ni lazima hapana.
Ila ni mara ngapi ushatembea na miguu umbali mrefu kisa huna gari....ukicheki hapo utaona kabisa kuwa umeteseka mara nyingi kwa kutokuwa na gari kuliko kwa kutokuwa na nyumba.
Wakati ndio huu fanya maamuzi ya busara jenga heshima mjini.