Naheshim mawazo yakoJenga nyumba, nyumba ni asset isiyohamishika na unaweza kuchukulia mkopo bank ila gari unaweza kulinunua likapinduka Hata ndani ya week ukala hasara ya vimilion vyako.
NB. Wanaume wanaitwa baba mwenye nyumba sio baba mwenye gari
Mi nishauri kitu kimoja...vyote ni muhim kwa ustawi wa maisha yako ila kikubwa cha kuangalia hapo ni je fan yako au mishe zako zaweza ongeza speed ukiwa na hiyo gari? Kama ndio nunua gari il uongeze thamanHabari vipi wakuu,
Najua katika maisha ya vijana hua kuna mitazamo tofauti ya mfumo wa maisha mtu atakavyo kuishi sina nyumba naishi nimepanga hapa Dar, lakini nina kiwanja Mbezi.
Mpango wangu ninunue gari MUNGU akisaidia mbeleni nitajenga tuu sasa hili suala la kutangulia kununua gari kabla ya kujenga, baadhi ya watu wameanza kuona eti napotea njia, wananiona sasa nimeanza kuchanganyikiwa.
Ushauri wenu wana JF ninunue gari au nitangulie kujenga nyumba.
NB: Endapo nitanunua gari kipato changu kitaongezeka Mara 2 ya nilichokua napata kwa mwezi.
Hats mtoto wa primary atachagua Nyumba,kama gari unaweza kopa kwa kutumia Nyumba ukaipata ila best choice nyumbajenga nyumba maana nyumba kila siku hata ukiuza ina banda thamani.gari baadae maana gari lina shuka thamani