Ninunue kipi gari au nijenge nyumba?

Ninunue kipi gari au nijenge nyumba?

floow

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2017
Posts
411
Reaction score
858
Habari vipi wakuu,

Najua katika maisha ya vijana hua kuna mitazamo tofauti ya mfumo wa maisha mtu atakavyo kuishi sina nyumba naishi nimepanga hapa Dar, lakini nina kiwanja Mbezi.

Mpango wangu ninunue gari MUNGU akisaidia mbeleni nitajenga tuu sasa hili suala la kutangulia kununua gari kabla ya kujenga, baadhi ya watu wameanza kuona eti napotea njia, wananiona sasa nimeanza kuchanganyikiwa.

Ushauri wenu wana JF ninunue gari au nitangulie kujenga nyumba.

NB: Endapo nitanunua gari kipato changu kitaongezeka Mara 2 ya nilichokua napata kwa mwezi.
 
Yote hayo unayotaka kufanya unayafanya kwa faida yako mwenyewe. Kama unaona ukinunua gari kipato chako kitaongezeka basi nunua gari maana itakuwa ni ASSSET badala ya kuwa Liability. Pia kama unanunua gari kwa ajili ya show off mjini itakula kwako maana kila muda wa kulipa kodi utakapokuwa unawadia huku una gari bila hela mfukoni ndipo utakapomjua baba mwenye nyumba ni nani
Habar VIP wakuu....najua ktk maisha ya vijana hua kuna mitazamo tofauti ya mfumo Wa maisha mtu atakavyo kuishi ...
Sina nyumba naish nimepanga hapa dar,lakini Nina kiwanja mbez..

Mpango wangu ninunue gar..MUNGU akisaidia mbeleni nitajenga tuu....sasa hili suala LA kutangulia kununua gar kabla ya kujenga,,baadh ya watu wameanza kuona et napotea njia,,wananiona sasa nimeanza kuchanganyikiwa....

Ushauli wenu wana JF......ninunue gar? Au nitangulie kujenga nyumba.
NB: endapo nitanunua gar ..kipato changu kitaongezeka Mara 2 ya nilichokua napata kwa mwez..
 
Habar VIP wakuu....najua ktk maisha ya vijana hua kuna mitazamo tofauti ya mfumo Wa maisha mtu atakavyo kuishi ...
Sina nyumba naish nimepanga hapa dar,lakini Nina kiwanja mbez..

Mpango wangu ninunue gar..MUNGU akisaidia mbeleni nitajenga tuu....sasa hili suala LA kutangulia kununua gar kabla ya kujenga,,baadh ya watu wameanza kuona et napotea njia,,wananiona sasa nimeanza kuchanganyikiwa....

Ushauli wenu wana JF......ninunue gar? Au nitangulie kujenga nyumba.
NB: endapo nitanunua gar ..kipato changu kitaongezeka Mara 2 ya nilichokua napata kwa mwez..
Gari unayotaka kununua gharama yake inafikia thamani ya nyumba unayotaka kujenga? Kama jibu ni ndio jenga nyumba.
 
Habar VIP wakuu....najua ktk maisha ya vijana hua kuna mitazamo tofauti ya mfumo Wa maisha mtu atakavyo kuishi ...
Sina nyumba naish nimepanga hapa dar,lakini Nina kiwanja mbez..

Mpango wangu ninunue gar..MUNGU akisaidia mbeleni nitajenga tuu....sasa hili suala LA kutangulia kununua gar kabla ya kujenga,,baadh ya watu wameanza kuona et napotea njia,,wananiona sasa nimeanza kuchanganyikiwa....

Ushauli wenu wana JF......ninunue gar? Au nitangulie kujenga nyumba.
NB: endapo nitanunua gar ..kipato changu kitaongezeka Mara 2 ya nilichokua napata kwa mwez..
Mjini hakuna baba mwenye gar kuna baba mwenye nyumba,labda kama unanunua gar ya biashara
 
Hiyo pesa uliyonayo unaweza jenga nyumba na kumaliza?, kama jibu ni ndiyo jenga kwani unaweza kuipangisha,kumbuka kujenga kunaitaji pesa la sivyo utaishia kwenye lenta au msingi...Kupanga ni kuchagua,chaguo ni lako.
 
Acha vyote kahonge na kuweka heshima bar!vitu vingine unapaswa ujiamulie mwenyewe bwamdogo
 
Kama hamna haraka ya gari jenga nyumba kwanza!! Ila kama kujanga nyumba kutachukua mda sana basi nunua gari.... Ila usinunue la gharama saana, endelea kusevu hela kwa ajili ya nyumba
 
Habar VIP wakuu....najua ktk maisha ya vijana hua kuna mitazamo tofauti ya mfumo Wa maisha mtu atakavyo kuishi ...
Sina nyumba naish nimepanga hapa dar,lakini Nina kiwanja mbez..

Mpango wangu ninunue gar..MUNGU akisaidia mbeleni nitajenga tuu....sasa hili suala LA kutangulia kununua gar kabla ya kujenga,,baadh ya watu wameanza kuona et napotea njia,,wananiona sasa nimeanza kuchanganyikiwa....

Ushauli wenu wana JF......ninunue gar? Au nitangulie kujenga nyumba.
NB: endapo nitanunua gar ..kipato changu kitaongezeka Mara 2 ya nilichokua napata kwa mwez..
Nunua Bombadier ukate kiu!
 
Habar VIP wakuu....najua ktk maisha ya vijana hua kuna mitazamo tofauti ya mfumo Wa maisha mtu atakavyo kuishi ...
Sina nyumba naish nimepanga hapa dar,lakini Nina kiwanja mbez..

Mpango wangu ninunue gar..MUNGU akisaidia mbeleni nitajenga tuu....sasa hili suala LA kutangulia kununua gar kabla ya kujenga,,baadh ya watu wameanza kuona et napotea njia,,wananiona sasa nimeanza kuchanganyikiwa....

Ushauli wenu wana JF......ninunue gar? Au nitangulie kujenga nyumba.
NB: endapo nitanunua gar ..kipato changu kitaongezeka Mara 2 ya nilichokua napata kwa mwez..
Bwana sikia priority kila mtu ana priority yake haijalishi gari yanini hata kula bata sawa we nunua usafiri muhimu sana nunua anaekuona mjinga atakuona na ungekuwa mjinga hata baisikeli usingenunua we sio mjinga....usafiri muhimu sana. una kiwanja then una 10m hizo 10m unajenga nyumba gani au panda? Ila 10 unanunua gari.
 
Kama hamna haraka ya gari jenga nyumba kwanza!! Ila kama kujanga nyumba kutachukua mda sana basi nunua gari.... Ila usinunue la gharama saana, endelea kusevu hela kwa ajili ya nyumba
Sanks brooo nimekuelewa
 
Habar VIP wakuu....najua ktk maisha ya vijana hua kuna mitazamo tofauti ya mfumo Wa maisha mtu atakavyo kuishi ...
Sina nyumba naish nimepanga hapa dar,lakini Nina kiwanja mbez..

Mpango wangu ninunue gar..MUNGU akisaidia mbeleni nitajenga tuu....sasa hili suala LA kutangulia kununua gar kabla ya kujenga,,baadh ya watu wameanza kuona et napotea njia,,wananiona sasa nimeanza kuchanganyikiwa....

Ushauli wenu wana JF......ninunue gar? Au nitangulie kujenga nyumba.
NB: endapo nitanunua gar ..kipato changu kitaongezeka Mara 2 ya nilichokua napata kwa mwez..
jenga nyumba maana nyumba kila siku hata ukiuza ina banda thamani.gari baadae maana gari lina shuka thamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom