floow
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 411
- 858
Habari vipi wakuu,
Najua katika maisha ya vijana hua kuna mitazamo tofauti ya mfumo wa maisha mtu atakavyo kuishi sina nyumba naishi nimepanga hapa Dar, lakini nina kiwanja Mbezi.
Mpango wangu ninunue gari MUNGU akisaidia mbeleni nitajenga tuu sasa hili suala la kutangulia kununua gari kabla ya kujenga, baadhi ya watu wameanza kuona eti napotea njia, wananiona sasa nimeanza kuchanganyikiwa.
Ushauri wenu wana JF ninunue gari au nitangulie kujenga nyumba.
NB: Endapo nitanunua gari kipato changu kitaongezeka Mara 2 ya nilichokua napata kwa mwezi.
Najua katika maisha ya vijana hua kuna mitazamo tofauti ya mfumo wa maisha mtu atakavyo kuishi sina nyumba naishi nimepanga hapa Dar, lakini nina kiwanja Mbezi.
Mpango wangu ninunue gari MUNGU akisaidia mbeleni nitajenga tuu sasa hili suala la kutangulia kununua gari kabla ya kujenga, baadhi ya watu wameanza kuona eti napotea njia, wananiona sasa nimeanza kuchanganyikiwa.
Ushauri wenu wana JF ninunue gari au nitangulie kujenga nyumba.
NB: Endapo nitanunua gari kipato changu kitaongezeka Mara 2 ya nilichokua napata kwa mwezi.