Ninunue HP au dell

Mzee bei gani vile umenunua!!!!!
 
Huwa sihitaji zinazodumu milele kwakuwa nahitaji teknolojia mpua. Ukiwa na mashone nzee ujie hutatumia programs za kisasa na with time inakuwa imechoka hata kama ni nzima na mwendo kasi unaisha.

Mie huwa naangalia yenye LATEST SPECS na Endurance kubwa. Maana tunao RUN SCIENTIFIC MODELS na kutumia SCIENTIFIC SOFTWARES tunahitaji mashine YA KISASA NA YENYE NGUVU.

Kuhusu brands HP, SONY, DELL, na TOSHOBA wako vizuri. Sijawahi kutumia huyu LENOVO na kwa kweli kama unataka kuitumia mashine kwa kazi ngumu usinunue tofauti na TOSHIBA. DELL na HP. Huyo LENOVO anazidiwa uwezo na baadhi ya simu za mkononi. Nikimaanisha mfano ukichukia flagship ya lenovo yenye i7 na kulinganisha na flagship ya Samsung Galaxy utaona maajabu. Kwa wanoweza kuifanya simu kuwa kompyuta wamenielewa.

Wanaotaka vinavyodumu pasipo kuangalia ENDURANCE namba moja ni TOSHIBA akifuatiwa na DELL kisha HP.
 
Ndiyo maana situmii mashine zaidi ya miaka 5. Inakuwa outdated na perfomance hupungua.

Niwashauri wanaopenda kupeleka kwa fundi. Mafundi wengi wa kibongo ni waharibifu na wezi. Labda upate fundi mnayefahamiana. Mara tatu mafundi wameniharibia mashine zangu. Wa mwisho alilipa maana aliiba vifaa nikamkamata navyo kulikuwa na alama. Nikampeleka kwa pilato akaninunulia mpya niliyoitaka.
 
PC ni matunzo na jinsi unavyoitumia.
Kwangu mimi nje ya HP ntanunua Macbook Pro tu.
HP naziaminia sana na hazijawahi niangusha hata siku moja.
Ni kweli kabisa. Tukiwa tunamalozia Masters Degree tuliamua kujaribu uwezo wa mashine za brands tofauti zenye specs zinazofanana. Tuka run complex model. HP alimaliza kwa masaa 6. Toshiba masaa 6 dk 38 Dell masaa 6 na dk2. Brands zingine kama Lenovo na Sony tulizizima baada ya masaa 7 na nusu. Hazikumaliza.
 
mkuu lenovo ndio manufacture mkubwa wa pc sasa hivi na series zake za Thinkpad ndio best kwa watu wanaofanya mambo serious. mambo yenu ya kisayansi mengi yanahitaji bandwidth ya kutosha inawezekana mashine zina cpu inayofanana lakini ukawa limited kwenye memory zipo situation mbalimbali kama vile
-mmoja ana storage yenye speed kama ssd na mwengine storage yake ipo slow kama HDD
-mmoja ram yake ipo slow mwengine ram yake ina speed
-mmoja anatumia dual/quad chanell ram na mwengine single chanell ram etc

kuhusu i7 lenovo hana usemi, i7 zote zinatoka kwa intel hivyo haiwezi yake ikawa slow, unless ulipata laptop ya kizamani, mathalan i7 ya 1st generation au zile za Y series za kizamani hizo zinaweza pitwa na simu, ila ukiwa na laptop ya i7 ya kisasa iwe ni lenovo, HP, Dell zitaperform almost sawa tu, kutakuwa na utofauti mdogo labda kwenye cooling hivi, inayopoza vizuri itaweza kukaa kwenye clocks kubwa kwa muda mrefu (turbo boost)
 
ni kweli kuhusu hao mafundi wengi wajanja wajanja tu, kama unanunua laptop ambayo sio ultrabook ni rahisi hata kuitengeneza mwenyewe nyumbani kurekebisha matatizo madogo madogo.
 
Habari wakuu....
laptop yangu ni hp probook 440g3 inashindwa ku- detect wireless naombeni msaada wa kitaalam. CHIEF MKWAWA na wataalam wengine wa haya makitu.
 
Habari wakuu....
laptop yangu ni hp probook 440g3 inashindwa ku- detect wireless naombeni msaada wa kitaalam. CHIEF MKWAWA na wataalam wengine wa haya makitu.
kuna laptop zina wireless na nyengine hazina. na zenye wireless zinahitaji drivers ili kuweza kufanya kazi.

click start halafu search neno device manager, kwenye network adapter angalia kama una adapter ya wifi, kama ipo right click halafu update hio wifi.
 
Chief-Mkwawa habari kaka, naomba nikuulize kuhusu kucheki graphics za laptop mara nyingi nikichei hizi core i3 au core i5 ninakuta ni 520 je ni sawa au nakosea jinsi ya kucheki coz huwa naenda kwenye DIAGDX,then DISPLAY au kuna njia nyingine
 
Basi anunue Macbook
pro tu atatumia hadi mjukuu
 
Nunue dell mkuu HP kimeo cha maana. Au nunua Toshiba mkuu hutajutia Matumizi ya fedha yako. Nilinunua Toshiba nikiwa chuo 2011 hadi leo ipo poa sana haina tatizo lolote.
Mm nmenunua HP probook mpk kesho ipo n bado mpya n kwa speed duma akasome
 
Chief-Mkwawa habari kaka, naomba nikuulize kuhusu kucheki graphics za laptop mara nyingi nikichei hizi core i3 au core i5 ninakuta ni 520 je ni sawa au nakosea jinsi ya kucheki coz huwa naenda kwenye DIAGDX,then DISPLAY au kuna njia nyingine
mkuu kwenye computer hasa laptop i3, i5 na i7 zote zinafanana tu kasoro mambo machache,

hivyo i3,i5 na i7 zinakuwa na gpu moja tegemea na generation.

kwako ni intel HD 520 inamaana hio ni 6th generation skylake.

ni gpu nzuri mkuu
 
mkuu kwenye computer hasa laptop i3, i5 na i7 zote zinafanana tu kasoro mambo machache,

hivyo i3,i5 na i7 zinakuwa na gpu moja tegemea na generation.

kwako ni intel HD 520 inamaana hio ni 6th generation skylake.

ni gpu nzuri mkuu
Ahsante sana Mkuu ngoja sikukuu zikipita nikachukue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…