Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,902
- 27,646
- Thread starter
-
- #241
VPN tunazo na tunatamba nazo ππUzi umetembea huu hatariii.
Haya kula upepo wa bahari, u-cool down ποΈJua Kali sana
Mdogo wa mimi, najivunia wewe Mallerina wangu π.Mimi najivunia tu nilivyo nimejifunza kujikubali na kujithamin
Amani ya moyo imenitoshaβ€οΈπ₯
Haswaaaa, ππππVPN tunazo na tunatamba nazo ππ
Karibu sana πHaya kula upepo wa bahari, u-cool down ποΈ
VPN oyeeHaswaaaa, ππππ
Asante AuntyMdogo wa mimi, najivunia wewe Mallerina wangu π.
Keep going, you are doing great π€!
Nashukulu sir god kunifanya nahema
Haya, ikifika saa kumi jioni utupe update, mambo yanaendaje huko πHii kombo sio powa π π
Karibu πAsante Aunty
ππNtaleta mrejeshoπHaya, ikifika saa kumi jioni utupe update, mambo yanaendaje huko π
Nikaribie kiwanja gani?Karibu sana π
Huwa wananisingizia sinaga tabia hizoNikaribie kiwanja gani?
PS:
Kuna tetesi huwa unawaanikaga warembo humu, eti kuna wengine waliwekwa hadharani wako kama maputo ya kuchezea watoto π€£. Je ni kweli?
Hivi yanga day ni liniHuwa wananisingizia sinaga tabia hizo
Kesho mtoto mzuri tukutane VIP AπHivi yanga day ni lini
Ila enzo usijitoe ufahamu! Ungekua na hela tusingekesha kipindi kile kama wehu kusubiri vocha za bure.Ukija uwanjani VIP A pale ukimuona mkaka ana kitambi na kapiga kofia jezi ya njano imeandikwa Vin JR ujue ndio Mimi ukiniona nakupa na afu kumi ya maji ephen_
πππAisee au na mie niwafanyieni jambo πIla enzo usijitoe ufahamu! Ungekua na hela tusingekesha kipindi kile kama wehu kusubiri vocha za bure.
Mods walitukosea kufuta ule uzi, nilikua nina uhakika wa bundle, zikimwagwa nazoa hadi za 20kπ