Nini ufanye ili uwe na furaha siku zote unapotumia mitandao ya kijamii, hasa JamiiForums?

Simply tu sijawahi kuchukulia maisha ya humu mitandaoni serious though wapo watu wengi wanapata michongo ya pesa, kazi, wenza wa maisha n.k lakini lengo langu kuu kuingia JF ni kuburudika & kurefresh na ndio maana kuna majukwaa hata kwa bahati mbaya huwezi kunikuta humo na hata nikipita basi ni kimyakimya pasipo kuacha hata alama ya unyayo.
 
Kitu kingine kinachowaponza wengi humu hasa hawa upcomings ni kutaka recognition na cheap popularity, kwa muda mfupi tu mtu kaingia JF anakuja na speed ya ajabu kila sehemu utamkuta tena pasi na content yeyote ili mradi kaonekana tu, wengine wanaenda mbali mpaka kutukana watu ama ku spit shits ili mradi wapate kuonekana na kuongelewa, mwisho wa siku kinachofuata ndani ya muda mfupi mtu kashaingia kwenye fights na watu zaidi ya kumi πŸ˜….
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚yani ni shida kuna watu inabidi wapimwa akili wakishambuliwa wanakuja na ID mpya kila kukicha wahusika ni walewale
 
Wee jamaa, eti ninavyokufurahia Kuna watu wanakereka, hivi Leo umevaa viatu gani nije kuvilamba mpaka vipungue size?
Buji tunafahamiana in person achana na watu wasiojua matumizi sahihi ya utambulisho bandia... Hao wana guts za kuandika vile kwakuwa hawako kwenye uhalisia wao... Ukikutana nao ni waoga wachovu waliopigika hasa kimaisha...
Kwa njia ile ya kuwachukia wengine bila sababu wanajitambulisha kwa sauti kubwa uhalisia wao na wanapata nafuu

Jr
 
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ‘
 
Siasani asilimia kubwa take it as a joke...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…