Tofauti ya nakupenda,nakuhitaji, ni nini
Nakupenda iko ndani ya nakuhitaji...i mean hakuna kuhitaji bila kupenda...
hili ndio linaanza ndio ifate kupenda then ije kuhitaji upo sasaDu hapo mmenipa na lingine na kutamani je
hilo nalo nenoUnaweza ukahitaji lakini usipende
unamtamani kwanza ndio uje umpende na bada ya kukaa naye kwa mda na kumzoea ndio unaanza kuona u need him/her in ur life ila huwez kuanza kumpenda ndio uje utamani au uanze na kuhitaji ndio uje upende umalizie na kutamani...as i know hua mtu unaona kitu unakitamani faster as u can bada ya dk kama kadhaa kupita ndio unaanza kukipenda ila tamaa always ndio huanza kwanzaI dont think so CUTE...
U need someone because you love them..
Kwangu nadhani (in its true, genuineness)..kuhutaji preceeds kupenda!
unamtamani kwanza ndio uje umpende na bada ya kukaa naye kwa mda na kumzoea ndio unaanza kuona u need him/her in ur life ila huwez kuanza kumpenda ndio uje utamani au uanze na kuhitaji ndio uje upende umalizie na kutamani...as i know hua mtu unaona kitu unakitamani faster as u can bada ya dk kama kadhaa kupita ndio unaanza kukipenda ila tamaa always ndio huanza kwanza
unamtamani kwanza ndio uje umpende na bada ya kukaa naye kwa mda na kumzoea ndio unaanza kuona u need him/her in ur life ila huwez kuanza kumpenda ndio uje utamani au uanze na kuhitaji ndio uje upende umalizie na kutamani...as i know hua mtu unaona kitu unakitamani faster as u can bada ya dk kama kadhaa kupita ndio unaanza kukipenda ila tamaa always ndio huanza kwanza