Nini Tofauti ya TB Joshua na Mwingira??

Nini Tofauti ya TB Joshua na Mwingira??

fredito13

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2012
Posts
213
Reaction score
146
kevy.jpg


Wanajamvi,

Mimi ni muumini wa dini ya kikristo, dhehebu langu nitataja nikihitajika kufanya hivyo.

Naomba ufafanuzi kwa wale wenye uelewa zaidi kuhusu hawa viongozi wa dini wanaoibuka siku hizi hapa nyumbani mpaka kwingineko ulimwenguni!

Hapa nyumbani tunao wengi, kuwataja wachache ni Kakobe, Mwingira, Mama Rwakatare na Mzee wa Upako (Lusekelo)

Naomba tofauti ya mitume/watumishi hawa; Mwingira wa Tanzania na TB Joshua wa Nigeria.

Kwa uelewa wangu, hawa wote na wengineo wanatumia neno la Mungu kujitajirisha! Ni nini kinamfanya TB Joshua awe maarufu zaidi?

Miujiza wanayoitenda ni kweli ina mkono wa Mungu au ni mapepo?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ukiwasikiliza sana Wahubiri/wachungaji halafu na skendo zao ndo unapoteza imani kabisa na kuona heri usimame na imani yako mwenyewe bila kuchafuliwa
 
ile kesi ya mwingira kuzaa na mke wa mtu iliishia wapi?
 
wakati mwingine mtu anauliza swali ili apate msaada kwa wana jamvi kakini najibu mengine yanasikitisha

huyu hajauliza ili apate msaada, kauliza ili kuchefua watu wenye imani zetu. kama tayari ana uhakika kuwa wanatumia miujiza kujitajirisha iweje awe na swali kama miujiza yao inatoka kwa mungu au shetani? hapo ukimuuliza yeye kamchangia mwingira shs ngapi, au ni muujiza gani wa mwingira umemuumiza kwa vyovyote vile hana jibu! kwa nini asiulize wale wanaolipua mabomu kama wametumwa na mungu au la, badala yake anauliza hawa ambao miujiza yao ni baraka tupu.

kwa kumsaidia au kumchanganya zaidi.

kevy.jpg


source: Hosanna Inc: Picha Yetu Jumatatu Hii: Mtumishi Mwingira Akiwa na Prophet TB Joshua

cc:fredito13
 
Tofauti ipo hivi mmoja mtanzania mngoni mwingine mnigeria sijui kabila gani ila kuhusu kupiga hela na wewe anzisha kanisa lako mbona poa tu.
 
wakati mwingine mtu anauliza swali ili apate msaada kwa wana jamvi kakini najibu mengine yanasikitisha

Huyu hakutaka jibu anawakilisha mtazamo wake ili tuufuate, nakuambia usilolijua ni kama usiku wa kiza, ni hivi wewe kama huna nguvu na maono ya kutambua tofauti zao usitoe conclusion, kama ni mkristo ama kwa kwenda kanisani au kwa kuamini toka moyoni endelea kuwafuatilia watu hawa katika live service zao na uombe kwa imani utagundua unalolitaka, Naomba Mungu akupe macho ya rohoni katika hili. Mungu ibariki Tanzania
 
Maliza kwanza kuharisha ndio uulize maswali,swali lako limekaa kiuharo uharo,kingine ww unataka kujua nini,tofauti yao,utajiri wao unatokana na nini au uhalali wa nguvu za miujiza ya?

Mmmmmhh!!!! Busara inahitajika jamani!!!!
 
huyu hajauliza ili apate msaada, kauliza ili kuchefua watu wenye imani zetu. kama tayari ana uhakika kuwa wanatumia miujiza kujitajirisha iweje awe na swali kama miujiza yao inatoka kwa mungu au shetani? hapo ukimuuliza yeye kamchangia mwingira shs ngapi, au ni muujiza gani wa mwingira umemuumiza kwa vyovyote vile hana jibu! kwa nini asiulize wale wanaolipua mabomu kama wametumwa na mungu au la, badala yake anauliza hawa ambao miujiza yao ni baraka tupu.

kwa kumsaidia au kumchanganya zaidi.

kevy.jpg


source: Hosanna Inc: Picha Yetu Jumatatu Hii: Mtumishi Mwingira Akiwa na Prophet TB Joshua

cc:fredito13

FYI, hukuwa na muda wa kusoma swali ukalielewa! Umelijibu kwa jazba pasipo kutaka kulifikiri kwa ndani zaidi!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Watu wengine wanaudhi,unawajibu kibabe.kichwa cha mada kizuri,ukisoma ndani unakutana na uhovyo hovyo,,,.

Unafikiria kwa kutumia makalio wewe! Hakika umetoroka wodi ya vichaa!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Wanajamvi,

Mimi ni muumini wa dini ya kikristo, dhehebu langu nitataja nikihitajika kufanya hivyo.

Naomba ufafanuzi kwa wale wenye uelewa zaidi kuhusu hawa viongozi wa dini wanaoibuka siku hizi hapa nyumbani mpaka kwingineko ulimwenguni!

Hapa nyumbani tunao wengi, kuwataja wachache ni Kakobe, Mwingira, Mama Rwakatare na Mzee wa Upako (Lusekelo)

Naomba tofauti ya mitume/watumishi hawa; Mwingira wa Tanzania na TB Joshua wa Nigeria.

Kwa uelewa wangu, hawa wote na wengineo wanatumia neno la Mungu kujitajirisha! Ni nini kinamfanya TB Joshua awe maarufu zaidi?

Miujiza wanayoitenda ni kweli ina mkono wa Mungu au ni mapepo?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

acha ushabiki usio na mantiki kwa watumishi wa Mungu hata kama huwakubali ucje ukaanza kupata matatizo mana hata kwenye biblia kumeandkwa ni vibaya kuwawazia watumishi kwanza ni Mkristo gani una mawazo finyu hivo only God can judge them
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom