Nini Tofauti ya TB Joshua na Mwingira??

Nini Tofauti ya TB Joshua na Mwingira??

jiulize wewe uonae skendo za wenzako hizo za kwako ndio imani iliyosafi? pili hizo skendo unazodai una uhakika nazo au ni huo ushabiki wako kwa mambo ya kusikia tena yasiyo na msingi?jitafakari kwani yawezekana unafanya kazi ya shetani bila kujitambua...

ndugu,yeye amesema skendo za watumishi maana hao ni watu wa muhimu haswa kwenye ukristo..soma kitabu cha Timotheo ujue mtumishi wa Mungu anatakiwa kuwa vipi..ni aibu sana kwa mtumishi wq Mungu kama mtume nabii, askofu, ama mchungaji kuwa na skendo
 
Neno katika Biblia linakubaliana na Miujiza.Soma Marko 16:17.
Na hata Yesu mwenyewe aliwaambia wafuasi wake kuwa watatenda miujiza mikubwa zaidi aliyofanya.Japo sikatai kuna ule upande wa giza wanajaribu kuiga watakatifu na hilo lipo wazi katika Bible.Ukiwa Mkristo wa kweli hupaswi kukosoa au kuhukumu.Mwache Roho Mtakatifu akuongoze katika kuujua ukweli

nakubaliana nawe! Yesu aliishi maisha aliyokuwa akihubiri-kwa sasa nyie waumini ndio mnachanga pastor aishi vzr, shavu dodo wakati nyinyi hkn kitu. hii sio injili ya biblia, kama una ushahidi leta kifungu. Currently hakuna mch anaeishi maisha ya chini
 
Neno katika Biblia linakubaliana na Miujiza.Soma Marko 16:17.
Na hata Yesu mwenyewe aliwaambia wafuasi wake kuwa watatenda miujiza mikubwa zaidi aliyofanya.Japo sikatai kuna ule upande wa giza wanajaribu kuiga watakatifu na hilo lipo wazi katika Bible.Ukiwa Mkristo wa kweli hupaswi kukosoa au kuhukumu.Mwache Roho Mtakatifu akuongoze katika kuujua ukweli

Ni sawa ndugu neno linakubaliana na miujiza lakini miujiza hiyo je!, inapatikana kwa nguvu za Mungu?
2 WATHESALONIKE 2:9:
“Yule ambaye kuja kwake ni kwa mfano
wa KUTENDA KWAKE SHETANI, KWA
UWEZO WOTE, NA ISHARA NA AJABU ZA
UONGO.”
Miujiza kadhaa kwa kipimo kidogo cha
uwezo ulio na mpaka. Wakati wana wa
Israeli walipokuwa hawajatoka Misri,
waganga na wachawi wa Farao, walifanya
miujiza kwa uwezo wa shetani:
(a) Wachawi hawa walipozibwaga fimbo
zao chini, ziligeuka kuwa nyoka kwa mfano
wa muujiza alioufanya Mungu kwa
kuwatumia Musa na Haruni [SOMA KUTOKA
7:8-12]
Sawa ndugu miujiza ipo ila tatizo kuiamini sasa?
 
Wote ni matapeli wa kutupwa na watafunaji wazuri wa waumini wao wa kike....
 
jiulize wewe uonae skendo za wenzako hizo za kwako ndio imani iliyosafi? pili hizo skendo unazodai una uhakika nazo au ni huo ushabiki wako kwa mambo ya kusikia tena yasiyo na msingi?jitafakari kwani yawezekana unafanya kazi ya shetani bila kujitambua...
skendo zingine zina ukweli acha hizo,we unaambiwa pastor anatembea na mke wa mtu,skendo zikizidi kuna ukweli
 
nakubaliana nawe! Yesu aliishi maisha aliyokuwa akihubiri-kwa sasa nyie waumini ndio mnachanga pastor aishi vzr, shavu dodo wakati nyinyi hkn kitu. hii sio injili ya biblia, kama una ushahidi leta kifungu. Currently hakuna mch anaeishi maisha ya chini

tupe mistari ambayo yesu alikuwa anahubiri maisha ya chini
 
Yesu alishi maisha ya kawaida kabisa..hata alipoend jerusalem alipanda mwanapunda..
 
Hakuna mwandamu atakayeweza kumuelewa au kulielewa NENO la KRISTO kwa kutumia uelewa wake...

Nakueleza wazi kabisa upate kusoma, wewe mleta mada si MKRISTO hata kama unaenda kanisani na kusoma BIBLIA...
Kitu ulichoshindwa kutofautisha ni uelewa wangu kwenye masuala ya kiimani na uelewa wa masuala mengine! Nimezungumzia uelewa wangu jinsi hao watu wanavyofanya ibada zao na jinsi wanavyoendesha makanisa! Sijazungumzia suala la Maandiko! Ni kweli, kuelewa maandiko ni lazima upate msaada wa roho mtakatifu na sio kwa uelewa binafsi!

Mzee wa upako (Lusekelo) alikataa kuwa Yesu hakua mkristo na pia akasema Yesu hakusali makanisani ila alienda kwenye masinagogi (kwa tafsiri yake sinagogi ni msikiti). Je huyo ameongozwa na roho mtakatifu kulielewa neno au?


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Tumeambiwa tufuate wanayosema sio wanayotenda, pia tuzipime roho maana si zote zinatoka kwa Mungu. Sasa wewe msikilize na upime anachoongea kama kweli ni neno la Mungu. Kama ni neno la Mungu basi ni mtumishi. Anaweza kuwa anakosea ndiyo hiyo nasema mwachie Mungu atamshughulikia yeye. Sisi tusijitwalie laana. Kikubwa ni kusoma neno wewe mwenyewe utajua tu kama huyu ananipotosha au la!!
utakua. na uhakika gani kama ni watumishi wa Mungu? shida ndo hiyo tu..maana hata walimu wa uongo wameandikwa tumeambiwa tutumie akili kuwatambua..
 
Umechema mwenyewe, Mwingira ni Ntanzania lakini TB Jochua nnaijeria. Afu chi umechikia watu wanamwacha Mwingira Tanzania wanapanda lori la hewani kwenda kwa TB Jochua? Umewahichikia wanaijeria wanapanda ntumbwi kumfuata mwingira Tanzania? Kazi ya Mungu ikifanywa kwa kuchanganya na Utapeli wala haikui bali hudumaa. Mwingira anafanya biachara kwa ngongo wa dini, lakini TB Jochua hutoa nchaada kwa wahitaji, ingawa wapambe wake (maajenti kama hapa Bongo wameanza kutumia jina la TB Jochua kutengenezea pecha - mfano kuuza chitika na maji).... watu bana waharibifu wa kazi za wenzao, ati kufa kufaana mwe! Chi umechikia Mwingira akidabadua wake za wenzake? (ungoni hauwezi kumtoka, kukong'oli ni jadi) , pia kunyang'anya machamba ya watu machikini na kuyalima kwa kuchimamiwa na mapolichi wenye bunduki chi umechikia? Hujachikia hayo kwa TB Jochua..... Naye akifyongo tutachikia tu. Tofauti ni nyingi.
 
huyu hajauliza ili apate msaada, kauliza ili kuchefua watu wenye imani zetu. kama tayari ana uhakika kuwa wanatumia miujiza kujitajirisha iweje awe na swali kama miujiza yao inatoka kwa mungu au shetani? hapo ukimuuliza yeye kamchangia mwingira shs ngapi, au ni muujiza gani wa mwingira umemuumiza kwa vyovyote vile hana jibu! kwa nini asiulize wale wanaolipua mabomu kama wametumwa na mungu au la, badala yake anauliza hawa ambao miujiza yao ni baraka tupu.

kwa kumsaidia au kumchanganya zaidi.

kevy.jpg


source: Hosanna Inc: Picha Yetu Jumatatu Hii: Mtumishi Mwingira Akiwa na Prophet TB Joshua

cc:fredito13

Hiyo ni kazi ya CCM kwa maelekezo ya Kikwete . Hapo analenga kumuchafua Kakobe na sio Mwingira sisis tuna akili na imani pia.
Nawashauri kuufanyia kazi waraka wa Kakobe la sivyo mizimu yenu imekufa na hamtapona
 
Wanajamvi,

Mimi ni muumini wa dini ya kikristo, dhehebu langu nitataja nikihitajika kufanya hivyo.

Naomba ufafanuzi kwa wale wenye uelewa zaidi kuhusu hawa viongozi wa dini wanaoibuka siku hizi hapa nyumbani mpaka kwingineko ulimwenguni!

Hapa nyumbani tunao wengi, kuwataja wachache ni Kakobe, Mwingira, Mama Rwakatare na Mzee wa Upako (Lusekelo)

Naomba tofauti ya mitume/watumishi hawa; Mwingira wa Tanzania na TB Joshua wa Nigeria.

Kwa uelewa wangu, hawa wote na wengineo wanatumia neno la Mungu kujitajirisha! Ni nini kinamfanya TB Joshua awe maarufu zaidi?

Miujiza wanayoitenda ni kweli ina mkono wa Mungu au ni mapepo?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Kwa nini usiulize msimamo wa Raisi Kikwete na Rais Mseven kwenye issue ya Ushoga???
 
mmoja whatsap inampromo kwa utabiri na mwingine nehi
 
Kitu ulichoshindwa kutofautisha ni uelewa wangu kwenye masuala ya kiimani na uelewa wa masuala mengine! Nimezungumzia uelewa wangu jinsi hao watu wanavyofanya ibada zao na jinsi wanavyoendesha makanisa! Sijazungumzia suala la Maandiko! Ni kweli, kuelewa maandiko ni lazima upate msaada wa roho mtakatifu na sio kwa uelewa binafsi!

Bado naendelea kusisitiza kuwa wewe unaweza kuwa ni msomaji wa NENO lakini si muelewaji wa NENO....

Uelewa wako bado hauwezi kukufanya umjue mtumishi wa kweli na wa uongo isipokuwa hadi pale utakapozipima roho hizo...(1 Yoh 4:1)...

Sasa je umezipima roho zao hao watumishi?

Je ni kwa uelewa wako au wa Mungu ndio uliokupa jawabu uliloliwakilisha kwetu?

Mzee wa upako (Lusekelo) alikataa kuwa Yesu hakua mkristo na pia akasema Yesu hakusali makanisani ila alienda kwenye masinagogi (kwa tafsiri yake sinagogi ni msikiti). Je huyo ameongozwa na roho mtakatifu kulielewa neno au?

Ona sasa unarudia kosa lile lile tena...

Unashindwa kuelewa kuwa ujio wa Yesu Kristo duniani ulikuwa ni kwa ajili ya kutafuta wale wote waliopotea pasipo kujali mahali walipo...

Kwa taarifa yako Yesu Kristo hajawahi kwenda kanisani au msikitini kufanya ibada hivyo hata huyo Mzee wa Upako kaongozwa na akili yake tu kutafsiri hivyo alivyotafsiri...
 
nakubaliana nawe! Yesu aliishi maisha aliyokuwa akihubiri-kwa sasa nyie waumini ndio mnachanga pastor aishi vzr, shavu dodo wakati nyinyi hkn kitu. hii sio injili ya biblia, kama una ushahidi leta kifungu. Currently hakuna mch anaeishi maisha ya chini
Kwani wewe unanijua mimi(umewahi kuniona wapi) au unawajua wakristo wote kuwa wana maisha ya chini?
Na aliyekuambia Yesu aliishi maisha ya chini ni nani?
 
kevy.jpg


Wanajamvi,

Mimi ni muumini wa dini ya kikristo, dhehebu langu nitataja nikihitajika kufanya hivyo.

Naomba ufafanuzi kwa wale wenye uelewa zaidi kuhusu hawa viongozi wa dini wanaoibuka siku hizi hapa nyumbani mpaka kwingineko ulimwenguni!

Hapa nyumbani tunao wengi, kuwataja wachache ni Kakobe, Mwingira, Mama Rwakatare na Mzee wa Upako (Lusekelo)

Naomba tofauti ya mitume/watumishi hawa; Mwingira wa Tanzania na TB Joshua wa Nigeria.

Kwa uelewa wangu, hawa wote na wengineo wanatumia neno la Mungu kujitajirisha! Ni nini kinamfanya TB Joshua awe maarufu zaidi?

Miujiza wanayoitenda ni kweli ina mkono wa Mungu au ni mapepo?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Tofauti ipo kubwa sana mkuu.
 
Ni sawa ndugu neno linakubaliana na miujiza lakini miujiza hiyo je!, inapatikana kwa nguvu za Mungu?
2 WATHESALONIKE 2:9:
“Yule ambaye kuja kwake ni kwa mfano
wa KUTENDA KWAKE SHETANI, KWA
UWEZO WOTE, NA ISHARA NA AJABU ZA
UONGO.”
Miujiza kadhaa kwa kipimo kidogo cha
uwezo ulio na mpaka. Wakati wana wa
Israeli walipokuwa hawajatoka Misri,
waganga na wachawi wa Farao, walifanya
miujiza kwa uwezo wa shetani:
(a) Wachawi hawa walipozibwaga fimbo
zao chini, ziligeuka kuwa nyoka kwa mfano
wa muujiza alioufanya Mungu kwa
kuwatumia Musa na Haruni [SOMA KUTOKA
7:8-12]
Sawa ndugu miujiza ipo ila tatizo kuiamini sasa?

Kwa nn tunamu' Underestimate Mungu kwa kiwango kikubwa hv tena hadharani!
.........Fimbo ya Musa ilizimeza zile za wachawi kuonyesha uweza mkuu wa Mungu. Mbona hilo haujaliongelea?
Fanya research za kutosha kwenye You tube videos za TB Joshua utaona hao wachungaji na mitume wanaotumia nguvu za giza wanavyotolewa Mapepo wakienda SCOAN.
 
Shika neno wana Wa Mungu...sisi wafuasi Wa mtume Na nabii Eliya Wa Siloam tuna washauri Muje huku kwani kuna Mungu Wa ukweli. Hapo ulipo jaribu kuulizia mahali lilipo Kanisa LA Siloam naomba jumuika nasi upate kumuabudu Mungu Wa Kweri. Amina
 
Tofauti ipo kubwa sana, mwingira kila anapofungua mlango wa kanisa lake lazima kila muumini atoe sadaka hata kama ni masikini hana kitu, lakini Tb joshua yeye ndie anaye toa misaada kwa wenye uhitaji kama ni fedha, chakula au hata ada za shule kwa wenye mahitaji.

skutaka kuchangia kbsa hii mada lakini hapa kama kuna point hebu tuichambue kwa kuangalia kila mlinganishwaji alichoifanyia jamii japo ni kweli hawafanani kiuchumi
 
Back
Top Bottom