tofauti ni ndogo kuteremka ni kwa kasi kuliko kushuka-na ivo ivo kuteremka ina asilia ya kitu kilicho juu sanaaa kuliko kushuka,kwa mfano mlima,ila kushuka ina ashiria sehmu ndogo
Tofauti ya neno "shusha" na teremsha
Nakumbuka haya maneno tuliwahi kuyajadili humu December 2014, kama sijapoteza kumbukumbu.
Ebu pitia hiyo link hapo juu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.