Nini tofauti kati ya pikipiki aina ya Boxer na TVS

EvilSpirit

JF-Expert Member
Jun 15, 2017
8,558
12,683
Nahitaji kufahamu tofauti kati ya pikipiki boxer na TVS na bei ya kila moja wapo na je ipi ni bora kati ya pikipiki hizi?

1614640591424.png

BOXER

1614640680491.png

TVS
 
Boxer..spare zipo kulingana na uwezo wako wa mfuko

Tvs ..spare bei yake imechangamka sana pia hata ulaji wa mafuta upo juu kuliko boxer .kiufupi Tvs hawana spare za kichina
 
Boxer..spare zipo kulingana na uwezo wako wa mfuko

Tvs ..spare bei yake imechangamka sana pia hata ulaji wa mafuta upo juu kuliko boxer .kiufupi Tvs hawana spare za kichina
Mbona kama umechanganya madesa mkuu,boxer na tvs zote ni piki piki za kidosi
 
Chukua boxer Ila chukua ile ya gia nne ile ya toleo la kwanza bampa la mbele ni la kawaid hiyo uliyoweka spea zake ni adimu.Kaa mbali na TVS ni nzuri ikiwa mpya Ila ikianza kuzingua utatembea kwa waganga wote Handeni na Sumbawanga
 
Chukua boxer Ila chukua ile ya gia nne ile ya toleo la kwanza bampa la mbele ni la kawaid hiyo uliyoweka spea zake ni adimu.Kaa mbali na TVS ni nzuri ikiwa mpya Ila ikianza kuzingua utatembea kwa waganga wote Handeni na Sumbawanga
Boxer niliona kuna za gear 5 inamaana gear 4 ni nzuri kuliko 5
 
Back
Top Bottom