Uelewa wako ni sahihi kabisa.
Nyote uelewa wenu mnafikiri kwa kutumia masaburi, Manispaa ni ngazi ya kimaendeleo na Halmashauri ni neno la kimamlaka, Ndo maana kuna Halmashauri hadi za Majiji
Ndiyo maana nimeleta hili swali ili nieleweshwe. Kama ningekaa kimya nisingepata kuyaelewa haya, na ningewapotosha na wengine. Thanks for sharing waungwana...Ndio maana nasema hii JF imevamiwa. Sasa kama huelewi hata halmashauri ni kitu gani, unawezaje kupata ujasiri wa ku"post" mada hapa? 1. Halmashauri ya mji 2. Halmashauri ya manispaa 3. Halmashauri ya Jiji N.K
Ndio maana nasema hii JF imevamiwa. Sasa kama huelewi hata halmashauri ni kitu gani, unawezaje kupata ujasiri wa ku"post" mada hapa?
1. Halmashauri ya mji
2. Halmashauri ya manispaa
3. Halmashauri ya Jiji
N.K
Na Mji ambao haujafikia ukubwa wa kiwango cha manisapaa unaitwaje?Halmashauri ni mamlaka i.e
Halmashauri ya kijiji,
Halmashauri ya Wilaya,
Halmashauri ya Mji,
Halmashauri Manispaa,
Halmashauri ya Jiji n.k
Manispaa ni kiwango cha ukubwa wa mji.
manispaa ni eneo la kiutawala wa kiserikali ya mitaaa lenye uwezo wa kujiendesha kwa sheria na utawala wake lakini usio wa kijiamulia kila jambo moja kwa moja ( semi autonomy) na mara nyingi eneo hili la utawala lina tengwa kwa kuzingatia idadi ya watu na huduma za watu ktk eneo husika. msingi wa hadhi ya manispaa nikuwa lazima eneo lifikie idadi fulani ya watu ambayo ni zaidi ya ile iliyowekwa kwa mji.idadi hii ya watu ktk manispaa inapozidi eneo hupandishwa hadhi na kuwa jiji.Wadau naomba kuelimishwa, manake hili swali nimesikia watagazaji wanaulizana.
Wenyewe hawana uhakika na wanatofautiana tu mitazamo hapa.
Kuna mmoja anasema Manispaa inaweza kuwa ndani ya Halmashauri.
Mwingine anasema Halmashauri inakuwa ndani ya Manispaa.
Kwa uelewa wangu Manispaa ni matokeo ya Halmashauri kuwa advanced tokana na Ongezeko la watu n.k
Which is which?
Na Mji ambao haujafikia ukubwa wa kiwango cha manisapaa unaitwaje?
Ndio maana nasema hii JF imevamiwa. Sasa kama huelewi hata halmashauri ni kitu gani, unawezaje kupata ujasiri wa ku"post" mada hapa?
1. Halmashauri ya mji
2. Halmashauri ya manispaa
3. Halmashauri ya Jiji
N.K
Ongeza: Halmashauri ya Kijiji...
Hakuna tofauti kati ya Halmashauri na Manispaa, isipokuwa umekata maneno kwa sababu jina sahihi ni Halmashauri ya Manispaa ya ...... ie Mkoa wa Kigoma kuna Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji (Kigoma/Ujiji Municipal Council-KUMC), Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma (Kigoma District Council - KDC), kuna Kibondo DC,Kasulu DC nk.
Sasa Tofauti ya Halmashauri ya Wilaya na Halmashauri ya Manispaa nafikiri ndio kusudio la msingi la swali lako, ipo hivi manispaa inapewa baada ya kuwa na vyanzo vya kujiendesha yenyewe angalau kwa asilimia fulani zaidi 30% (sina uhakika sana), pili idadi ya watu kwa eneo yaani population per unit area, watu wamesongamana kiasi gani, concetration per urea.
Kwa sababu idadi ya watu waliopo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ni kubwa ukilinganisha na Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji lakini msongamano wa watu katika eneo dogo la Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma/Ujiji ni kubwa kuliko la Halmashauri ya wilaya ya Kigoma. Naomba nifafanue hapo kwenye msongamano ie unaweza kuta KDC watu 100 wanakaa kwenye wastani wa mita za eneo 1000 lakini lakini KUMC watu 100 wanakaa kwenye eneo la 500, na ndio maana utaona Halmashauri za manispaa nyingi zipo mjini, kwa mfano Dar es Salaam kuna Halmashauri za manispaa tu na hakuna Halmaahauri za wilaya yaani Kinondoni, Ilala and Temeke municipal Council.
Vile vile kuna wilaya hapo tusichanganye vyote viwili yaani Halmashauri ya Manispaa na wilaya zinaweza kuwa katika wilaya moja ie Kigoma/Ujiji Municipal Council and Kigoma District Council zote zipo KIGOMA DISTRICT.
Na Mji ambao haujafikia ukubwa wa kiwango cha manisapaa unaitwaje?
Ndio maana nasema hii JF imevamiwa. Sasa kama huelewi hata halmashauri ni kitu gani, unawezaje kupata ujasiri wa ku"post" mada hapa?
1. Halmashauri ya mji
2. Halmashauri ya manispaa
3. Halmashauri ya Jiji
N.K
Ndio maana nasema hii JF imevamiwa. Sasa kama huelewi hata halmashauri ni kitu gani, unawezaje kupata ujasiri wa ku"post" mada hapa?
1. Halmashauri ya mji
2. Halmashauri ya manispaa
3. Halmashauri ya Jiji
N.K