Hawa wote wawili sehemu ya majukumu yao kwenye vyeo vyao ni fitina kwa mpinzani yoyote wa ccm.
Gambo aliwahi kumlisha Lema maneno na kupotosha kwa maneno kwenye speech ikamlazimu Lema kuingilia speech ya Gambo, makada wa CCM walimshukia Lema kuwa hana nidhamu wakiamini kijana Gambo alistahili kumfitinisha Lema na wadhamini wa mradi wa kituo cha mama na mtoto.
Leo yamewafika fitna hizo wanahamishiana wao kwa wao yani ni kama kula nyama ya mtu huwezi kuacha.
Naamini fitna ni sehemu ya topic muhimu sana wanayofundishwa huko UVCCM.
Cheo kimoja kimmeze mwenzake au vyote vifutwe as long as hivi ni vyeo venye mizizi ya kikoloni.
Rasimu ya Warioba iko na suluhisho la hili tatizo la Gambo na mwenzake.
Sent using
Jamii Forums mobile app