Karibuni masijala
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 409
- 135
Wanabodi
Chama tawala kwa mwaka 2012 haikupita week, mwezi wala mwaka hatujaidili ccm kwa siasa zake kwa Watanzania si serikalini, bungeni, mahakamani na kwenye chama kwa walioibua viongozi wao wa chama na waliopewa dhamana kuongoza serikali kusimamia rasimali zetu na kuzitumia kwa manufaa ya taifa na hata wanachama.
Nini tadhimini yako kwa waliyoshiriki yakaibukia kwenye jukwaa na kuibua mjadala yapi ya kuwapongeza
2. Yapi walikuboa nayo
3. Mwaka 2013 unawashauri nini CCM
Chama tawala kwa mwaka 2012 haikupita week, mwezi wala mwaka hatujaidili ccm kwa siasa zake kwa Watanzania si serikalini, bungeni, mahakamani na kwenye chama kwa walioibua viongozi wao wa chama na waliopewa dhamana kuongoza serikali kusimamia rasimali zetu na kuzitumia kwa manufaa ya taifa na hata wanachama.
Nini tadhimini yako kwa waliyoshiriki yakaibukia kwenye jukwaa na kuibua mjadala yapi ya kuwapongeza
2. Yapi walikuboa nayo
3. Mwaka 2013 unawashauri nini CCM