Nini suluhisho ya mahusiano yanakunyima amani ya moyo?

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Safari ya mahusiano huwa ni safari yenye mambo mengi kuna wakati mahusiano unaona ndio chombo kinachokupa amani ya moyo

Na kuna wakati mahusiano unaona kabisa hayakupi furaha ya moyo mbaya zaidi mwenza anaku treat vizuli anakuheshimu anakupa upendo wote ila basi unaona ila tuu haya mahusiano hayakupi amani na furaha ya moyo

Nini suluhisho ktk hiliiii?
 
Kamwe huwez pata vitu vyote mwanamke mmoja, Labda umuumbe mwenyewe
 
Na kuna wakati mahusiano unaona kabisa hayakupi furaha ya moyo mbaya zaidi mwenza anaku treat vizuli anakuheshimu anakupa upendo wote ila basi unaona ila tuu haya mahusiano hayakupi amani na furaha ya moyo
Ukiona mahusiano hayakupi amani na furaha basi ujue huyo si chaguo lako, au umemchoka
 
Umekosea hapo umesema eti ndio chombo kinakupa amani ya moyo. Mnakosea sana. Haitakiwi mwanadamu mwenzako.. au kitu kiwe chombo cha kukupa amani ya moyo. Inatakiwa ww mwenyewe ujikubali.. na uwe na amani ya moyo bila hata yeye.. lakini upate mtu unampenda. Huyo ww haumpendi, halafu unalazimisha tu kuwa naye. Ndio mwisho wa siku mnachepuka sababu umelazimisha kukaa na mtu haumpendi, hapo utaanza tamani wengine kila siku
 
Umekosea hapo umesema eti ndio chombo kinakupa amani ya moyo. Mnakosea sana. Haitakiwi mwanadamu mwenzako.. au kitu kiwe chombo cha kukupa amani ya moyo. Inatakiwa ww mwenyewe ujikubali.. na uwe na amani ya moyo bila hata yeye.. lakini upate mtu unampenda. Huyo ww haumpendi, halafu unalazimisha tu kuwa naye. Ndio mwisho wa siku mnachepuka sababu umelazimisha kukaa na mtu haumpendi, hapo utaanza tamani wengine kila siku
👏👏
Furaha/ amani vinaanzia ndani ya moyo wako
 
Mkuu, ebu achana na hii sector ya mapenzi na mahaba tuachie sisi huku tuliokaa dawati la mwisho nyuma kabisaaa....
 
Safari ya mahusiano huwa ni safari yenye mambo mengi kuna wakati mahusiano unaona ndiyo chombo kinachokupa amani ya moyo.

Na kuna wakati mahusiano unaona kabisa hayakupi furaha ya moyo mbaya zaidi mwenza anaku treat vizuri anakuheshimu anakupa upendo wote ila basi unaona ila tuu haya mahusiano hayakupi amani na furaha ya moyo

Nini suluhisho ktk hiliiii?
 
Hakuna suluhisho bali ni kuteseka tu mpaka moyo wako utakapokuwa sugu na kuacha kujali au utakapoamua mwenyewe kuwa amani yako ya moyo ni muhimu kuliko hayo mahusiano yasiyo na amani. Na hakuna short cut. Kufa hutakufa ila cha moto utakiona hasa kama umependa mazima...ila muda ni tabibu mzuri. Mwishowe kila kitu kitakuwa sawa. Pole na hongera!
 
Kwa ufahamu wangu..hakuna mahusiano yenye 100% Raha au Karaha. Kuna mixture ya vyote na ndio chachu ya mahusiano. Ufahamu wangu huu unaniaminisha kuwa kila mtu ako na madhaifu. Hakuna mkamilifu chini ya jua. Mara nyingi Huwa tunaona kuwa "siko happy na haya mahusiano"...mara "sijui Nina nini mbona sinayo bahati".....hii ni kwa sababu ya asili yetu ya ubinafsi.

Ukiona umeshakuwa na 3 to 4 consecutive relationship afu unajiona Huna bahati mara hauko happy em tukae chini tujitafakari. Jifanyie personal critical evaluation wapi nimeenda wrong??!!...wapi ninakosea.

Tukishajifunza kumuona Kila mtu mwanadamu hakuna malaika, af tena tukajifunza kuwa happiness haiko kwa.mwanadamu Bali Mungu ndiye mwenye kuitosheleza furaha yangu basi hautamuangalia mwanadamu kamwe.

Yeyote iwe Mme, mke, mtoto, rafiki, ndugu, mzazi..anaweza enda wrong akakuumiza probably. Lakini kwa kuwa Mungu ndie mwenye kutupa amani ambayo hatutaipata duniani kamwe atajaziliza pale mwanadamu aliposhindwa kuprovide hiyo furaha.

Tujifunze kumuona Kila mtu ni mwanadamu...afu mioyo yetu itasuuzuka sana. Mahusiano mazuri yanatutaka tujitafakari where do we get/rely on for our happiness.

Anyways suluhisho la mahusiano hayo ni kuondoka..ila tafakari pia hili..zuri beba baya acha..linaweza likawa msaada kwa namna Moja ama nyingine..

#nimtazamotu#
 
Kwa ufahamu wangu..hakuna mahusiano yenye 100% Raha au Karaha. Kuna mixture ya vyote na ndio chachu ya mahusiano. Ufahamu wangu huu unaniaminisha kuwa kila mtu ako na madhaifu. Hakuna mkamilifu chini ya jua. Mara nyingi Huwa tunaona kuwa "siko happy na haya mahusiano"...mara "sijui Nina nini mbona sinayo bahati".....hii ni kwa sababu ya asili yetu ya ubinafsi.

Ukiona umeshakuwa na 3 to 4 consecutive relationship afu unajiona Huna bahati mara hauko happy em tukae chini tujitafakari. Jifanyie personal critical evaluation wapi nimeenda wrong??!!...wapi ninakosea.

Tukishajifunza kumuona Kila mtu mwanadamu hakuna malaika, af tena tukajifunza kuwa happiness haiko kwa.mwanadamu Bali Mungu ndiye mwenye kuitosheleza furaha yangu basi hautamuangalia mwanadamu kamwe.

Yeyote iwe Mme, mke, mtoto, rafiki, ndugu, mzazi..anaweza enda wrong akakuumiza probably. Lakini kwa kuwa Mungu ndie mwenye kutupa amani ambayo hatutaipata duniani kamwe atajaziliza pale mwanadamu aliposhindwa kuprovide hiyo furaha.

Tujifunze kumuona Kila mtu ni mwanadamu...afu mioyo yetu itasuuzuka sana. Mahusiano mazuri yanatutaka tujitafakari where do we get/rely on for our happiness.

Anyways suluhisho la mahusiano hayo ni kuondoka..ila tafakari pia hili..zuri beba baya acha..linaweza likawa msaada kwa namna Moja ama nyingine..

#nimtazamotu#
Uko vizuri sana mtumishi...Always
 
Safari ya mahusiano huwa ni safari yenye mambo mengi kuna wakati mahusiano unaona ndio chombo kinachokupa amani ya moyo

Na kuna wakati mahusiano unaona kabisa hayakupi furaha ya moyo mbaya zaidi mwenza anaku treat vizuli anakuheshimu anakupa upendo wote ila basi unaona ila tuu haya mahusiano hayakupi amani na furaha ya moyo

Nini suluhisho ktk hiliiii
Mahusiano lengo ni kutengeneza urafiki baina ya wanandoa.

Rafiki haboi wala hakeri,mnapiga stori mbalimbali.

Kuna uwezekano mkubwa wewe na mpenzi wako hamna ile chemistry ya urafiki,hamshei mambo mbalimbali hamna utani baina yenu n.k

Hayo ni mahusiank bubu,wapenzi jamna code zenu za utani kwwmba mna vitu special mkikumbushiana mnafurahi,nyie mpo tu kilichhowaunganisha ni tendo la ndoa,hiyo ni mbaya.

Hata kama mwanamke akiwa wa kawaida ukimfanya rafiki mtaishi kwa furaha na upendo na mtakuwa kama washkaji.

Mimi mshkaji wangu wife anajua hasa kwamba napenda wanawake wenye mizigo mikubwa,na hunitania hasa kwamba mume wangu fulani ana sheepu(kiutani) na mimi namjibu eee bwaaneeee ?

Maisha ya ndoa mnatakiwa muishi kirafiki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom