My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,487
- 11,434
Kuna kichaa ameshazalishwa Mara mbili .
Mateja hao
I'm on that good kush and alcohol
Kuna kichaa ameshazalishwa Mara mbili .
Hahahaha inawezekana pia kweli !!.Mateja hao
I'm on that good kush and alcohol
Chezea utamu, ndomu lazima isahaulikeHawawezi kutaka wenyewe hata sisi tunahusika kwa kiasi kikubwa sana. Ukiona huna malengo ya kuzaa na mwanamke kwanini usitumie njia za kuzuia mimba mapema.
Zero IQ unasemaje hapo?
...wakivuka 20 nini kinabadilika mkuu? Mtu si ni yuleyuleBinti anaewindwa sana zama hizi ni under 20, akivuka hapo anabaki wakawaida tu.
Kwa wale ninaowafahamu, zaidi ya asilimia 99,9 wanatakaHao unaokutana nao kwenye hizo platform wote wanataka kuolewa?
Wazalishaji wakubwa wa masingle mother ni wanaume na tukizalisha tunawaacha, kwanini tusipunguze uzalishaji huu kwa kudhibiti tamaa zetu za kimwili.
Mbona umeweka umri wa chini sana mkuuBinti anaewindwa sana zama hizi ni under 20, akivuka hapo anabaki wakawaida tu.
Kuna magonjwa ya zinaa ujueChezea utamu, ndomu lazima isahaulike
Kumbe wewe ni male!!?Gari ikisha shusha injini haiwezi kuwa mpya, ndo maana wanatafuta walio mbali na upeo wao kwa sbb mtaani wamesha chafua kinoma noma.
Wako sahihi maana ss men hatupendi tuone au tuambiwe ukweli
Bora ukae kimya,maana wasije kukushitukia...Mi sitii neno
CC Zero IQ
hapa nawalaumu wanawake wengi....wanakuwa na ujinga kuwa akikutegeshea mimba ndo utamuoaNingependa sisi wanaume tusimwage mbegu kwenye mabonde ambayo tunajua hatuwezi kulima endapo mbegu zitaota.
Kwahiyo, unataka usemeje?Kuna magonjwa ya zinaa ujue
wanaume hua tunashoboka sana kwa wenye umri mdogo coz tunajua hawajatumika sana
wanaume hua tunashoboka sana kwa wenye umri mdogo coz tunajua hawajatumika sana
coz hao ndo hawajatumika sana bt above hapo washapgwa miti mpaka mali zimechakaaMbona umeweka umri wa chini sana mkuu