Sokoro waito
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 2,201
- 2,587
Kwanini watu wengine huwa na machale juu ya jambo baya liwezalo kumtokea au tayari linamtokea wakati huo huo. Hata wengine utasikia akisema "Moyo wangu unauma" wakati huo huo anadai kumkumbuka mtu wa karibu kama vile mke au mme wake akihisi kumfanyia jambo baya lolote.
Mtu mwingine utasikia akisema sina amani kabisa kusafiri leo, anaahirisha kusafiri lakini baadae utasikia basi ambalo angesafiria limepata ajari mbaya hata kuua au kuumiza watu. Maswali yangu ni,
1.Je Nguvu ya machale hutoka kwa Mungu au wapi?
2.Je Watu wote wana machale au ni baadhi tu ya watu wana uwezo huo.
3.Je kuna njia ya mtu kukuza uwezo wa machale yake.
Mtu mwingine utasikia akisema sina amani kabisa kusafiri leo, anaahirisha kusafiri lakini baadae utasikia basi ambalo angesafiria limepata ajari mbaya hata kuua au kuumiza watu. Maswali yangu ni,
1.Je Nguvu ya machale hutoka kwa Mungu au wapi?
2.Je Watu wote wana machale au ni baadhi tu ya watu wana uwezo huo.
3.Je kuna njia ya mtu kukuza uwezo wa machale yake.