Nini siri ya kiapo kikuu cha Upadri? Tazama mwisho wa Askofu Millingo, Askofu Lukanima...

Phillemon Mikael

Platinum Member
Nov 5, 2006
10,536
8,625
KATIKA kuelimishana ningependa kujua Hasa kwa wenye uelewa Kama waliopita Seminari, kwa Nini Wengi ya watu waliopata kuacha Upadri especially kwa njia ya kushindwa nadhiri ya Useja ....Maisha Yao Huwa ya Kutangatanga hadi mwisho ???

Hiyo haina maana kuwa Ndani ya Kanisa hakuna walioteleza wapo ...lakini tazameni wale walioacha Upadri .....Nina Mifano michache ya ambao tangu wameondoka Kanisani Maisha Yao yamekwua ya kutanga tanga ....


ASKOFU LUKANIMA

HUYU alikuwa ASKOFU wa Jimbo Kuu katoliki Arusha ..akimpokea Marehemu ASKOFU Dennis Dunnin ..., ASKOFU Huyo alipata fununu Enzi Zile ....na wakristo Mara wakaona ghafla ....ametoweka ,Enzi Zile hapakuwa na social media kwa Hiyo Wengi walibaki tu na taharuki wasijue Yuko wapi... Ikadaiwa kapelekwa adhabu Vatican ....,
Miaka miwili iliyopita ASKOFU HUYU alikufa KATIKA Hali ya upweke ....huko mwanza na wala hakuzikwa Kanisani ......

Padri Severino Tupa

HUYU alikiuka utii kwa ASKOFU kwa kushiriki siasa kinyume cha maagizo ya Kanisa ...( mapadri hawaruhusiwi kugombea nafasi said siasa ) ....alipogombea ubunge nafikiri Moja ya Majimbo Dodoma Ikawa kajifukuza kwa utomvu wa nidhamu ...huko kwenye siasa akaanguka kwa mwanamke .....
Baada ya muda alikuja kushindwa ubunge ....mwanamke akamkimbia.....akaanza Maisha ya kutanga tanga ....na Mara nyingine akienda kwa mapadri wenzake makanisani kuomba hata chakula ...Baada ya kuwa ameishi Nyumba ya udongo ...kuna wakati alikuwa KATIKA Hali ya kuchanganyikiwa anaenda akiwa na mavazi ya Upadri yaliyochakaa ..machafu viwanja vya st joseph kuomba ..........ilifikia mahali Kanisa likaamua kimsamehe Ila kumsitiri ...kwa kuamua kumpa matunzo kwenye Nyumba ya wazee ...


ASKOFU Millingo

HUYU alikuwa ASKOFU mkuu Lusaka ...akaanguka kwenye dhambi na kukiuka nadhiri ya Useja ...Baada ya hapo Maisha yake yote yamekwua ya mahangaiko ...kuna wakati Aliitwa Vatican ...Kama wengine wanaoanguka na kutakiwa kukaa kifungo cha majuto ..kusali na kufunga ...
Lakini bado Baada ya muda mrefu alipoachiwa akaanguka dhambini hadi kuhama Kanisa na kuoa mkorea ......ilifikia Tena mahala akaonewa huruma ....na Kanisa likamchukua ...Sina uhakika lakini mwisho alirudishwa Tena Vatican kutunzwa
Numepata kukutana naye Amstedam kwenye airport Lounge akiwa na mkewe ..

ASKOFU Jacob Koda

Makao makuu ya Kanisa Katolini nchini Vatican yamemwondosha katika ngazi zote za uongozi wa kanisa aliyekuwa Askofu Jacob Koda wa Dayosisi ya Same, Kilimanjaro. Askofu huyo ameshauriwa kuchukua muda wa mapumziko, kutafakari na kujitambua. Kufuatia hatua hiyo, Papa Benedict XVI amemteua Baba Rogath Kimaryo kuchukua nyadhifa za Dayosisi hiyo ya Same hadi hapo Dayosisi hiyo itakapopata Askofu mwingine.

Endelea kusoma habari hii iliyopatikana katika mtandao wa Independent Catholic News

Following Bishop Koda’s removal, Pope Benedict XVI has appointed Father Rogath Kimaryo to be Apostolic Administrator of the Same Catholic diocese until the diocese gets a new bishop.

Father Kimaryo, who was until recently the parish priest of Kipawa Parish in Dar es Salaam will be “authorised” during Mass at Same Cathedral Church, to be presided over by Cardinal Polycarp Pengo.

Without elaborating, the Vatican Apostolic Nuncio to Tanzania Archbishop Joseph Chennoth said that Bishop Koda has now been ‘advised to take time for rest, reflection and personal study.’

“We have advised him to leave the Diocese, and Father Kimaryo will lead the See for a short while, until the Holy Father announces (the appointment of) a new bishop,” he said.

Pope John Paul II nominated Koda as the new bishop of Same in September 1999.

Father Kimaryo, who is a member of the Holy Ghost Fathers’ congregation, holds a doctorate in Law, from the Rome-based Pontifical Gregorian University.

An Apostolic Administrator in the Roman Catholic Church is a prelate appointed by the Pope to serve as the ordinary.


Padri Wilbrod Slaa

Haiwezi kuwa Kama ni conclusion ya kinachowapata mapadri wanaoshindwa nadhiri zao ...lakini historian iko Wazi kote alikopita alifanya kazi kwa mafanikio makubwa ...lakini mwisho anaondoka kwa sababu ambazo hazieleweki

alikuwa padri kwa mafanikio makubwa hadi kupata cheo kikubwa Kabisa Chennye mamlaka cha Katibu Mkuu wa TEC ...mtendaji Mkuu wa Kanisa nchini Tanzania ....Kabila ya kuanguka dhambini ...na kujikuta anaondolewa kwenye cheo Chake ...Kanisa bado halikukata Tamaa likampeleka mbulu na akawa Kama Vicar Au Monsineor ..masaidizi mkuu wa ASKOFU mbulu ....nako yeye mwenyewe anaondoka kugombea ubunge

Akawa Mbunge wa karatu kwa mafanikio makubwa .....baadaye Katibu Mkuu kwa mafanikio makubwa ....mgombea Urais na kipenzi cha wote kwa mafanikio makubwa .......lakini pia nako chadema akaondoka pamoja na watanzania wote wanaomtakia mema ..wazazi ..Mzazi mwenzake..ndugu zake na watoto wanaompenda ....pengine aliyeunga Au kuchagiza kuondoka huko ni Mmoja Au wachache wanaonufaika ...na kumtumia KATIKA uzee wake ...


Hatujui kama naye atakuwa Mtu wa mahangaiko .... ImageUploadedByJamiiForums1441623715.613350.jpg ImageUploadedByJamiiForums1441624132.518939.jpg ImageUploadedByJamiiForums1441624149.603612.jpg ImageUploadedByJamiiForums1441624160.268874.jpg ImageUploadedByJamiiForums1441624178.574912.jpg ImageUploadedByJamiiForums1441624178.574912.jpg
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1441623800.259081.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1441623800.259081.jpg
    45.7 KB · Views: 2,361
Mimi namfahamu Padri mmoja anaitwa Robert Ng'wanzalima (Jimbo la Mwanza kabla ya kugawanywa na jimbo la Geita) aliasi upadre akaoa,mke wake alikuwa mwalimu,walijaaliwa kupata watoto 3 na wote walikufa vifo vya ajabu ajabu.Baadae Mke alikimbia kwa kuchanganyikiwa baada ya watoto kufariki,na yeye mwenyewe akawa anatembea huku anaongea peke yake,sijui kwa sasa yuko wapi lakini mara ya mwisho namuona 10 yrs back alikuwa anatia huruma sana.
 
ukimsaliti hata panya unaishi kwa mashaka,dr hana tena trust ya watanzania na yeye pia hana imani nao,si lazima tuone kwa macho ila inawezekana nafsi yake inajuta kuacha upadri,nyapu kitu kibaya sana,hata mimi nataman nisingeijua
 
tofauti na hao uliowayaja Dr anaonekana kila sehemu anyokwenda anaimudu na anaifanya kwa mafanikio hebu tumpe mda
Kingine ni kwamba hao uliowataja wengi waliondoka kwa kutoroka lakini Dr alifuata taratibu zote na aliondoka kwa hatua zote zinazotakiwa na kanisa ndo maana sasa ni miaka zaidi ya 20 toka ameacha upadri na hakuna tatizo lolote lililomtokea.
 
Mafia wa Vatican huwa wanafanyakazi zao ...
KATIKA kuelimishana ningependa kujua Hasa kwa wenye uelewa Kama waliopita Seminari, kwa Nini Wengi ya watu waliopata kuacha Upadri especially kwa njia ya kushindwa nadhiri ya Useja ....Maisha Yao Huwa ya Kutangatanga hadi mwisho ???

Hiyo haina maana kuwa Ndani ya Kanisa hakuna walioteleza wapo ...lakini tazameni wale walioacha Upadri .....Nina Mifano michache ya ambao tangu wameondoka Kanisani Maisha Yao yamekwua ya kutanga tanga ....


ASKOFU LUKANIMA

HUYU alikuwa ASKOFU wa Jimbo Kuu katoliki Arusha ..akimpokea Marehemu ASKOFU Dennis Dunnin ..., ASKOFU Huyo alipata fununu Enzi Zile ....na wakristo Mara wakaona ghafla ....ametoweka ,Enzi Zile hapakuwa na social media kwa Hiyo Wengi walibaki tu na taharuki wasijue Yuko wapi... Ikadaiwa kapelekwa adhabu Vatican ....,
Miaka miwili iliyopita ASKOFU HUYU alikufa KATIKA Hali ya upweke ....huko mwanza na wala hakuzikwa Kanisani ......

Padri Severino Tupa

HUYU alikiuka utii kwa ASKOFU kwa kushiriki siasa kinyume cha maagizo ya Kanisa ...( mapadri hawaruhusiwi kugombea nafasi said siasa ) ....alipogombea ubunge nafikiri Moja ya Majimbo Dodoma Ikawa kajifukuza kwa utomvu wa nidhamu ...huko kwenye siasa akaanguka kwa mwanamke .....
Baada ya muda alikuja kushindwa ubunge ....mwanamke akamkimbia.....akaanza Maisha ya kutanga tanga ....na Mara nyingine akienda kwa mapadri wenzake makanisani kuomba hata chakula ...Baada ya kuwa ameishi Nyumba ya udongo ...kuna wakati alikuwa KATIKA Hali ya kuchanganyikiwa anaenda akiwa na mavazi ya Upadri yaliyochakaa ..machafu viwanja vya st joseph kuomba ..........ilifikia mahali Kanisa likaamua kimsamehe Ila kumsitiri ...kwa kuamua kumpa matunzo kwenye Nyumba ya wazee ...


ASKOFU Millingo

HUYU alikuwa ASKOFU mkuu Lusaka ...akaanguka kwenye dhambi na kukiuka nadhiri ya Useja ...Baada ya hapo Maisha yake yote yamekwua ya mahangaiko ...kuna wakati Aliitwa Vatican ...Kama wengine wanaoanguka na kutakiwa kukaa kifungo cha majuto ..kusali na kufunga ...
Lakini bado Baada ya muda mrefu alipoachiwa akaanguka dhambini hadi kuhama Kanisa na kuoa mkorea ......ilifikia Tena mahala akaonewa huruma ....na Kanisa likamchukua ...Sina uhakika lakini mwisho alirudishwa Tena Vatican kutunzwa
Numepata kukutana naye Amstedam kwenye airport Lounge akiwa na mkewe ..

ASKOFU Jacob Koda

Makao makuu ya Kanisa Katolini nchini Vatican yamemwondosha katika ngazi zote za uongozi wa kanisa aliyekuwa Askofu Jacob Koda wa Dayosisi ya Same, Kilimanjaro. Askofu huyo ameshauriwa kuchukua muda wa mapumziko, kutafakari na kujitambua. Kufuatia hatua hiyo, Papa Benedict XVI amemteua Baba Rogath Kimaryo kuchukua nyadhifa za Dayosisi hiyo ya Same hadi hapo Dayosisi hiyo itakapopata Askofu mwingine.

Endelea kusoma habari hii iliyopatikana katika mtandao wa Independent Catholic News

Following Bishop Koda's removal, Pope Benedict XVI has appointed Father Rogath Kimaryo to be Apostolic Administrator of the Same Catholic diocese until the diocese gets a new bishop.

Father Kimaryo, who was until recently the parish priest of Kipawa Parish in Dar es Salaam will be "authorised" during Mass at Same Cathedral Church, to be presided over by Cardinal Polycarp Pengo.

Without elaborating, the Vatican Apostolic Nuncio to Tanzania Archbishop Joseph Chennoth said that Bishop Koda has now been ‘advised to take time for rest, reflection and personal study.'

"We have advised him to leave the Diocese, and Father Kimaryo will lead the See for a short while, until the Holy Father announces (the appointment of) a new bishop," he said.

Pope John Paul II nominated Koda as the new bishop of Same in September 1999.

Father Kimaryo, who is a member of the Holy Ghost Fathers' congregation, holds a doctorate in Law, from the Rome-based Pontifical Gregorian University.

An Apostolic Administrator in the Roman Catholic Church is a prelate appointed by the Pope to serve as the ordinary.


Padri Wilbrod Slaa

Haiwezi kuwa Kama ni conclusion ya kinachowapata mapadri wanaoshindwa nadhiri zao ...lakini historian iko Wazi kote alikopita alifanya kazi kwa mafanikio makubwa ...lakini mwisho anaondoka kwa sababu ambazo hazieleweki

alikuwa padri kwa mafanikio makubwa hadi kupata cheo kikubwa Kabisa Chennye mamlaka cha Katibu Mkuu wa TEC ...mtendaji Mkuu wa Kanisa nchini Tanzania ....Kabila ya kuanguka dhambini ...na kujikuta anaondolewa kwenye cheo Chake ...Kanisa bado halikukata Tamaa likampeleka mbulu na akawa Kama Vicar Au Monsineor ..masaidizi mkuu wa ASKOFU mbulu ....nako yeye mwenyewe anaondoka kugombea ubunge

Akawa Mbunge wa karatu kwa mafanikio makubwa .....baadaye Katibu Mkuu kwa mafanikio makubwa ....mgombea Urais na kipenzi cha wote kwa mafanikio makubwa .......lakini pia nako chadema akaondoka pamoja na watanzania wote wanaomtakia mema ..wazazi ..Mzazi mwenzake..ndugu zake na watoto wanaompenda ....pengine aliyeunga Au kuchagiza kuondoka huko ni Mmoja Au wachache wanaonufaika ...na kumtumia KATIKA uzee wake ...


Hatujui kama naye atakuwa Mtu wa mahangaiko ....View attachment 284502View attachment 284506View attachment 284507View attachment 284508View attachment 284510View attachment 284510
 
tofauti na hao uliowayaja Dr anaonekana kila sehemu anyokwenda anaimudu na anaifanya kwa mafanikio hebu tumpe mda
Kingine ni kwamba hao uliowataja wengi waliondoka kwa kutoroka lakini Dr alifuata taratibu zote na aliondoka kwa hatua zote zinazotakiwa na kanisa ndo maana sasa ni miaka zaidi ya 20 toka ameacha upadri na hakuna tatizo lolote lililomtokea.

Inawezekana ..

Lakini kitendo cha kusema maaskofu na viongozi wa dini wamehongwa wakati yeye Kama aliyepata kuwa Katibu Mkuu wa Kanisa ...anajuwa utaratibu na Anafahamu ni wapi apeleke taarifa ili hao watuhumiwa wake wapelekwe Vatican kufanya Malipizi na majuto ya dhambi...unaweza kufikiri labda kidogo akili yake ilipata usahaulifu huo

Sidhani kama hakuna tatizo Kwani ni ishu ya muda na anahitaji kufanya maombi binafsi na Malipizi pale ambako anaona amekosea ...
 
Mimi namfahamu Padri mmoja anaitwa Robert Ng'wanzalima (Jimbo la Mwanza kabla ya kugawanywa na jimbo la Geita) aliasi upadre akaoa,mke wake alikuwa mwalimu,walijaaliwa kupata watoto 3 na wote walikufa vifo vya ajabu ajabu.Baadae Mke alikimbia kwa kuchanganyikiwa baada ya watoto kufariki,na yeye mwenyewe akawa anatembea huku anaongea peke yake,sijui kwa sasa yuko wapi lakini mara ya mwisho namuona 10 yrs back alikuwa anatia huruma sana.

Mnamkumbuka Yule padri aliyetuhumiwa Kunajisi ..Padri Kimaro ...alifungwa miaka mitatu ..Baada ya kuachiwa ...aliachishwa Upadri ..lakini kulikua na arrangement Fulani ambayo angepata matunzo ...aliona aibu Sana na kuamua kukimbia ....

KATIKA kutanga tanga aliokotwa Huko Msumbiji akiwa amefariki kutokana na Tabu ...Kanisa lilitaarifiwa na alisitiriwa nyumbani kwao
 
Siri ni hii hapa.

Ecclesiastes 5:4

"For the dream comes through much effort and the voice of a fool through many words. When you make a vow to God, do not be late in paying it; for He takes no delight in fools. Pay what you vow! It is better that you should not vow than that you should vow and not pay.…"
 
Somen uzi wa Mshana jr kuhusu viapo. Never play around with vows.

Inaweza mwisho wake Huyo unaesema kimada akamkimbia ..Baada ya kumtumia kupata pesa ......na mwisho atarudi kanisani ...maana ilkikia kuadhirika Kanisa linaweza kuwasitiri ...
Hapo ndio tujuwe Siri ya Kiapo chao ....laiti Kiapo cha Urais kingekuwa na nguvu Kama hicho .....
Procedure yenyewe ya Kiapo inatisha huhusisha kulala kifudi Fudi kwa muda mrefu
 
Inawezekana ..

Lakini kitendo cha kusema maaskofu na viongozi wa dini wamehongwa wakati yeye Kama aliyepata kuwa Katibu Mkuu wa Kanisa ...anajuwa utaratibu na Anafahamu ni wapi apeleke taarifa ili hao watuhumiwa wake wapelekwe Vatican kufanya Malipizi na majuto ya dhambi...unaweza kufikiri labda kidogo akili yake ilipata usahaulifu huo

Sidhani kama hakuna tatizo Kwani ni ishu ya muda na anahitaji kufanya maombi binafsi na Malipizi pale ambako anaona amekosea ...

Mungu si mwanasiasa, ukweli utasemwa mchana kweupe. Yohana Mbatizaji alimchana live Herode ikawa sababu ya kukatwa kichwa. Mungu hateti na wanadamu kwenye vikao vya siri. Acheni Mungu aitwe Mungu
 
Inawezekana ..

Lakini kitendo cha kusema maaskofu na viongozi wa dini wamehongwa wakati yeye Kama aliyepata kuwa Katibu Mkuu wa Kanisa ...anajuwa utaratibu na Anafahamu ni wapi apeleke taarifa ili hao watuhumiwa wake wapelekwe Vatican kufanya Malipizi na majuto ya dhambi...unaweza kufikiri labda kidogo akili yake ilipata usahaulifu huo

Sidhani kama hakuna tatizo Kwani ni ishu ya muda na anahitaji kufanya maombi binafsi na Malipizi pale ambako anaona amekosea ...

Labda Kama sikusikia vizuri lakini ninachojua ni kwamba Dr Slaa alisema Gwajima ndie aliyemwambia kwa Lowassa kawahonga maaskofu 30 na hajasema Kama yeye anao ushahidi wa hao maaskofu kuhongwa,,
 
Hebu ona hii ili uache kueneza uongo :

In Catholic theology, celibacy is not dogma, which means it’s not an unmovable policy instituted by Jesus. It is a tradition, becoming a staple of Catholic practice in the 10th and 11th century.

Nadhiri ya useja ni ya ki desturi zaidi na si amri ya Kristo. Ni mapokeo ambayo yanazungumzika. Mfanye utafiti kabla ya kuposti vitu

The Catholic Church distinguishes between dogma and regulations. The male-only priesthood is Catholic dogma, irreversible by papal decree. The ban on marriage is considered a regulation. As Knight-Ridder put it,"That means the pope could change it overnight if he wished."
 
I should start by saying IT IS NOT TRUE. It is only a myth. The sample you are using is not sufficient. Most of Tanzanians do not make research and analyze the facts critically, most of us are fond of hear say and gossip. In Europe for example day and night priests are leaving priesthood and are living pretty well in all standards.

The Catholic Church is very secretive in many of its affairs. As we speak, the Archdiocese of Dar es Salaam alone have four priests who have renounced priesthood - if you don't trust ask the church authorities. All of them are taking different undertakings, and since all priests receives good education, they are remarkable.

I would give you an assignment to revisit a case to case of those priests who have left priesthood and know why have they left the priesthood. Moreover, the Code of Canon Law itself gives this permission.

What you see outside is just a few examples, of priests sufferings and by 80% their sufferings are due to economic hardship which faces many other Tanzanians as well.
 
Yote haya yanaonekana sasa ......lakini miezi mitatu iliyopita ndiye aliyekuwa shujaa mkuu wa upinzani ..... hivi kama sio unafiki hizi chuki za kupandikiza propaganda za kiwango hiki ni kwa faida ya nani?

Subirini uchaguzi upite tukutane hapa hapa .....
 
I should start by saying IT IS NOT TRUE. It is only a myth. The sample you are using is not sufficient. Most of Tanzanians do not make research and analyze the facts critically, most of us are fond of hear say and gossip. In Europe for example day and night priests are leaving priesthood and are living pretty well in all standards.

The Catholic Church is very secretive in many of its affairs. As we speak, the Archdiocese of Dar es Salaam alone have four priests who have renounced priesthood - if you don't trust ask the church authorities. All of them are taking different undertakings, and since all priests receives good education, they are remarkable.

I would give you an assignment to revisit a case to case of those priests who have left priesthood and know why have they left the priesthood. Moreover, the Code of Canon Law itself gives this permission.

What you see outside is just a few examples, of priests sufferings and by 80% their sufferings are due to economic hardship which faces many other Tanzanians as well.

Tena mkuu, wenye mtazamo huu wanatakiwa waanzie mwanzoni mwa ukatoliki. Mfano mwepesi ni Padre muasi Martin Luther ambaye ndiye mwanzilishi wa Ulutheri, dhehebu la mh Lowassa. Kama Slaa, Luther naye alikuwa kasisi, akajitoa baada ya kubandika thesis yenye point 95 Wittenberg.

Leo walutheri wanathubutuje kusema Dr Slaa ana laana ya kiapo cha upadre? Hapo hatujazungumzia madhehebu mengine mengi. Tukisema tuanze kuchimbua huku, tutaishia kusema kuna madhehebu yamelaaniwa. Tuache propaganda chafu
 
Back
Top Bottom