Pombe yote inayotengenezwa kwa nafaka kama,mtama,mahindi,ulezi,ndizi zote hizo ni mataputapu!kama chibuku inayotengenezwa kiwandani kwa umakini na taratibu za kiafya bado nayo ni mataputapu itakuwa hiyo mbege inayotengenezwa migombani isiitwe mataputapu??Lizzy anagalia vyote hivyo ni taps!!Mbege ni pombe ya heshima wewe.
Hainywewi kwa kukosa pesa au kukosa pombe nyingine karibu. Mataputapu ni yale watu wanakunywa kwa kukosa pesa ya kunywa pombe za ghali.
Pombe yote inayotengenezwa kwa nafaka kama,mtama,mahindi,ulezi,ndizi zote hizo ni mataputapu!kama chibuku inayotengenezwa kiwandani kwa umakini na taratibu za kiafya bado nayo ni mataputapu itakuwa hiyo mbege inayotengenezwa migombani isiitwe mataputapu??Lizzy anagalia vyote hivyo ni taps!!
Pombe yote inayotengenezwa kwa nafaka kama,mtama,mahindi,ulezi,ndizi zote hizo ni mataputapu!kama chibuku inayotengenezwa kiwandani kwa umakini na taratibu za kiafya bado nayo ni mataputapu itakuwa hiyo mbege inayotengenezwa migombani isiitwe mataputapu??Lizzy anagalia vyote hivyo ni taps!!
Mbona via inatemgenezwa na nafaka?Pombe yote inayotengenezwa kwa nafaka kama,mtama,mahindi,ulezi,ndizi zote hizo ni mataputapu!kama chibuku inayotengenezwa kiwandani kwa umakini na taratibu za kiafya bado nayo ni mataputapu itakuwa hiyo mbege inayotengenezwa migombani isiitwe
mataputapu??Lizzy anagalia vyote hivyo ni taps!!
Mbona via inatemgenezwa na nafaka?
Mbege ni mataputapu bwana.Kwanza inavotengenzwa,inapouziwa,vifaa vya kunywea na haina kiwango rasmi cha kilevi.Kwa hiyo pombe zote ambazo hazina kiwango cha KILEVI na pia hazina kiwango cha TBS ni MATAPUTAPU ikiwemo na MBEGGE..SAWA AKINA MEKKU EEEH[/QUOTE]
Jamaa wabishi kweli kweli,....gonna are the dayz we....................at Mti Safi(Umbwe ss).....kwa kindi
we sema mbege ni mataputapu, wenzako wanakunywa wanajenga vitambi