Mkuu unafahamu FATUMA!?
Sio kwa mninga au mpingoMkuu unafahamu FATUMA!?
FATUMA anaingia huko ndani na makomeo yako ya analogia na kidigitali hapo mlangoni!
Dawa ni ukiwakamata unawafanyia kama jamaa wa kule uingereza maana aliwafungia ndani na kuwashugulikia ipasavyoIla kuchomwa mmmh ni hatareee.
Niende moja kwa moja kwenye mada kama maeneo nayoishi kumekuwa na vitendo vya wizi mchana na usiku ila style wanayotumia wizi ni kama aina mpya flani kwani kama miezi miwili kuna wezi walivamia usiku kwenye duka la vifaa vya ujenzi na kuiba bila kuvunja grill yaani walifungua kufuli kama kwao vile.
Juzi tena kuna jirani mchana ametoka amefunga mlango pamoja na grill jamaa wakaenda wakafungua kama kwao na kubeba kila kitu walichotamani kubeba.
Usiku wa leo jamaa wameenda tena mtaa wa jirani wakafungua mlango bila kuvunja wakabeba Tv ,simu pamoja na pesa japo kwa maelezo yake anahisi walimpulizia dawa za kulala .
Hatua ya kwanza tumechukua ni kuaza kulala na majaba au mabeseni ya maji chumbani kwani inasemekana hata wakikupulizia dawa ya kulala haifanyi kazi (hatuna uhakika).
Ila kinachotupa shida wanawezaje kufungua milango na magrill bila kufunja wanatumia njia gani na njia gani ya kuweza kudhibiti wizi huu wa majumbani?
Ni maeneo gani Kaka?Niende moja kwa moja kwenye mada kama maeneo nayoishi kumekuwa na vitendo vya wizi mchana na usiku ila style wanayotumia wizi ni kama aina mpya flani kwani kama miezi miwili kuna wezi walivamia usiku kwenye duka la vifaa vya ujenzi na kuiba bila kuvunja grill yaani walifungua kufuli kama kwao vile.
Juzi tena kuna jirani mchana ametoka amefunga mlango pamoja na grill jamaa wakaenda wakafungua kama kwao na kubeba kila kitu walichotamani kubeba.
Usiku wa leo jamaa wameenda tena mtaa wa jirani wakafungua mlango bila kuvunja wakabeba Tv ,simu pamoja na pesa japo kwa maelezo yake anahisi walimpulizia dawa za kulala .
Hatua ya kwanza tumechukua ni kuaza kulala na majaba au mabeseni ya maji chumbani kwani inasemekana hata wakikupulizia dawa ya kulala haifanyi kazi (hatuna uhakika).
Ila kinachotupa shida wanawezaje kufungua milango na magrill bila kufunja wanatumia njia gani na njia gani ya kuweza kudhibiti wizi huu wa majumbani?
Lazima itakuwa maeneo ya pembezoni mwa mjiNi maeneo gani Kaka?
Mlishangilia jpm kufa Sasa yawakuta , tulilala milango wazi hapa dar , jamaa alikuwa noma sana Kwa wezi , majambazi hadi wazee wa ngada
USSR
Kuna style nyingine,wanakuja kwako kama una bomba nje wanafungulia maji ,we ukitoka tu unaoIla kuchomwa mmmh ni hatareee.
Hawa shwaini waliwaingilia wapangaji wangu last Sunday, wameiba simu ila Mungu wa ajabu mmoja akadhibitiwa ndani ya geti pamoja na kuwaumiza vijana wangu. Nilimpambania asiuwawe,raia nusra wanitoe uhai, hakuliona jua la asubuhi,kaenda mbinguni bila petroli.Wanaleta hasara kubwa sana
Hawa shwaini waliwaingilia wapangaji wangu last Sunday, wameiba simu ila Mungu wa ajabu mmoja akadhibitiwa ndani ya geti pamoja na kuwaumiza vijana wangu. Nilimpambania asiuwawe,raia nusra wanitoe uhai, hakuliona jua la asubuhi,kaenda mbinguni bila petroli.
Ahsante. Haulali AnkoPole sana Uncle.
mbaya sana hii usiombe yakukute,kuna siku rafiki yangu pia alikutwa na hiyo issue mpk namtoa pale ashukuru mungu ila alikua tayari amebagazwa haswa.Nilimpoteza jamaa yangu kwa style hiyo Mkuu,
Sitaki Kukumbuka Ile siku, Bado lile tukio linanitesa Hadi kesho.
TooBad .
Mungu ampumzishe rafiki huko aliko. Alikuwa mtu mwema mno.
Ahsante. Haulali Anko
Hayo ya kukucha mapema yapo A town,niambie wapi nikuje AnkoWeekend Uncle kumekucha huku
Hayo ya kukucha mapema yapo A town,niambie wapi nikuje Anko
Misigiri ndani ndani huku
Pole Sana. Ilikuwaje Mkuu....Nilimpoteza jamaa yangu kwa style hiyo Mkuu,
Sitaki Kukumbuka Ile siku, Bado lile tukio linanitesa Hadi kesho.
TooBad .
Mungu ampumzishe rafiki huko aliko. Alikuwa mtu mwema mno.
Labda mwenzetu unaishi masaki ndio maana mlikuwa mnalala milango wazi au unaishi ushirombo dar hujawah kuishi unatuchora tuMlishangilia jpm kufa Sasa yawakuta , tulilala milango wazi hapa dar , jamaa alikuwa noma sana Kwa wezi , majambazi hadi wazee wa ngada
USSR