THK DJAYZZ
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 2,167
- 175
Clouds tangu walivyojiingiza kuipigia kifua ccm ndio hapo walipo poteza wateja kabisa na sasa watatangaza waganga wa kienyeji tu
Clouds tangu walivyojiingiza kuipigia kifua ccm ndio hapo walipo poteza wateja kabisa na sasa watatangaza waganga wa kienyeji tu
Mbona clouds fm walishapoteza muelekeo zamani tu?
Tangu waanze kuhoji Mashoga kwenye kituo chao cha Clouds TV walizidi kuporomoka maradufu,na nyie E fm msije iga huo upuuzi.
Fursa tu,hata wewe ungeletewa biashara ya kuitangaza ccm,usingeachaClouds wamejichimbia wenyewe kaburi la kibiashara kwa kujifanya makada wa ccm sasa wacha waisome namba na watatangaza waganga wa mitishamba tu