Nini maoni yenu juu ya internet ya Halotel?

Nini maoni yenu juu ya internet ya Halotel?

Nimenunua gb 1 za voda nifuatilie ripoti ya pili ya makinika zimeisha kabla hata JPM hajaanza kuongea.

Wakati halotel gb 1 huwa zinakaa hadi nasahau kabisa.
Acha unafiki wewe, unatumia Simu ya shemeji itakuwa,,,so hujui ilikuwa na MB ngapi
 
Mimi nipo hapa dar lakini inazingua mbaya mwanzo ilikua poa siku hizi ni shida
 
Halotel ni jipu kubwa.

Karibu katika katika ulimwengu wa T.
T-Generation
 
Kwangu halotel ndio mtandao wenye unaafuu kuliko mitandao yote Tz.

2g ya halotel ndio 4g ya tigo.

Airtel ndio konokono kabisa , Voda sijawahi vocha.
Hivi internet ya Airtel Huwa inafanya kazi? Sijawahi ona manufaa ya bando za Airtel
 
Mimi nipo hapa dar lakini inazingua mbaya mwanzo ilikua poa siku hizi ni shida
Ukweli inaonekana kuna maeneo ufanisi umeshuka na kuna maeneo bado wanaendelea kufanya vizuri, ukiangalia maoni ya wadau wote humu,
Internet yao ni kero kwakweli kwa sasa tofauti na walipoanza, imekua iko slow sana, kuna mtu aliwahi kuniambia mikoani haisumbui sana tofauti na Dar, lkn juzi hapa nilikua moro(Kilosa,Mvomero na Ulanga) ikawa ina suasua especialy moro mjini inazingua sana. Kama wateja eameongezeka wajipange
 
Watumiaji tunapenda vitu bora, isijekuwa walivutia tu wateja kuweka bundle zenye ujazo mzuri kuliko wenzao na kuwa na mtandao unaspeed nzuri lakini taratibu wateja wakiwa wengi na wao wanaanza kiburi kilekile cha mitandao mingine bundle bei mbaya na ujazo hazina(zinapeperuka fasta),
Ni Tanzania tu kila mtu mwizi,( sio madini peke yao,) haiwezekani mb zilezile lakini zikawa na uwezo tofauti kwenye mitandao miwili kwa kazi ileile,
 
Utakuwa mfanyakazi wa Voda.

Halafu bahati mbaya wamekuajiri una mtindio wa ubongo.

Kwa ukwasi niliokuwa nao kwa business zangu,,,hao Voda au tigo ka mshahara kao ka Laki tano kwa mwezi,,,me ni hela ya matumizi kwa siku kumi tu iyo 5k.....
 
tangu nimesajili hii line ya halotel muda wote inasoma H+ wakati tigo ni mwendo wa EDGE tu.
 
Halotel now is too slow coz mimi natumia huu mtandao kwa muda sasa naamini wameshajua kinatakiwa nini watarekebisha very soon!
 
kuna watu wanakosea setting ndo mana inakuwa slow setting yako hakikisha unaweka hivi
name b_internet
APN internet
APN type default
pasword 1111
 
Nimenunua gb 1 za voda nifuatilie ripoti ya pili ya makinika zimeisha kabla hata JPM hajaanza kuongea.

Wakati halotel gb 1 huwa zinakaa hadi nasahau kabisa.

Maana yake ni kwamba zikiisha haraka ni kwamba spidi ni nzuri zaidi na ubora ni mzuri zaidi and vice versa
 
Wadau wa mitandao, hasa wale mnaotumia mtandao wa halotel mna maoni gani kuhusu ubora wa huduma za internet za hii kampuni, maana maeneo mengine imekuwa ni kero kwa kweli, je wadau wateja mlioko maeneo mbalimbali mnaonaje huko kwenu huduma za hawa jamaa(internet),

Wewe ndo unapaswa kulinganisha eneo hilo hilo mitandao hiyo ikoje.

Kulinganisha maeneo tofauti ni kichekesho
 
Watumiaji tunapenda vitu bora, isijekuwa walivutia tu wateja kuweka bundle zenye ujazo mzuri kuliko wenzao na kuwa na mtandao unaspeed nzuri lakini taratibu wateja wakiwa wengi na wao wanaanza kiburi kilekile cha mitandao mingine bundle bei mbaya na ujazo hazina(zinapeperuka fasta),
Ni Tanzania tu kila mtu mwizi,( sio madini peke yao,) haiwezekani mb zilezile lakini zikawa na uwezo tofauti kwenye mitandao miwili kwa kazi ileile,

Dahhheti Tanzania kila mtu mwizi aiseee
 
acheni upotoshaji hakuna mtandao tz unaoweza kufikia kasi ya Halotel wapo vizur sana na mob zinachelewa kukata tofauti na voda ukinunua tigo ndio kabisa mb hautumii jinsi ilivyo slow
Acha kutetea wezi wee jamaa. Halotel siku hz wamekuwa wahuni na wezi wakubwa wa mb za wateja.
 
Back
Top Bottom