chibuga mugeta
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 1,176
- 1,055
ukweli ndio huo yaani kwa town ok ila pembezoni ni shida saaaaaaaanaWote wanaosifia waulize wako maeneo gani. Halotel sehemu za mjini wako vizuri lakini pembezoni kidogo ni hovyo kabisa. Na kwa wale wanazungu mikoa mbalimbali nchi hii hawawezi kusifia upuuzi wa halotel!