bayonamperembi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 367
- 176
Internet ya Halotel haina nguvu nje ya mji ila wako vizuri mjini na MB zao haziishi haraka kama za voda. Voda ni tatizo kwa kweli. Airtel mwanzoni walikua vyema sana na nina moderm yao hadi leo. Baada ya kulewa sifa wakajisahau na huduma yao ya internet ndo mbovu kuliko kwa sasa. Tigo sijawahi kuwajaribu.