Mpaka muda huu sijafahamu haswa mantiki ya kuitisha mkutano na waandishi wa habari, halafu asizungumze kuhusu Richmond, Dowans na mustakabali wa nchi yetu haswa katika kipindi hiki kigumu cha mgawo wa umeme.
Watanzania walitegemea azungumze kuhusu kulipwa kwa Dowans, kujivua gamba na msimamo wake khsu hisia kwamba anategemea kugombea urais 2015. Tetesi kuhusu uhusiano wake na yanayoendelea katika UVCCM Arusha.
Nifahamisheni mantiki ilikuwa ipi?
Watanzania walitegemea azungumze kuhusu kulipwa kwa Dowans, kujivua gamba na msimamo wake khsu hisia kwamba anategemea kugombea urais 2015. Tetesi kuhusu uhusiano wake na yanayoendelea katika UVCCM Arusha.
Nifahamisheni mantiki ilikuwa ipi?