X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
unfortunately, haujui kama unayeongea naye ni doctor anayeshinda na wagonjwa kila siku, au ni mganga wa kienyeji kama wewe...so, tuachane na hili...waache wanawake waje wathibitishe, tukiongea sisi wanaume unaweza usiamini kwasababu unachokijua ni theory ulizosoma kwenye vitabu na si kushuhudia kwa macho.....labda kama na wewe ni doctor, na kama wewe ni doctor how come katika udaktari wako umewaona 20 tu? ndo maana nikakwambia mimi nimewaona wengi kuliko hao unaowataja hapo, kwahiyo nyamaza kimya kwasababu una lack knowledge.
Ukiwa nyuma ya keyboard, unaweza kudai kuwa wewe ni fulani, una ujuzi fulani, hakuna atakayethibitisha, mimi kuwa mganga wa kienyeji na wewe kuwa doctor ni wewe unayesema, ila ukweli utabakia palepale, kuwa unacho kizungumza ni stories za mitaani na hazina ukweli wowote ule....!
Rudia maelezo yako uko nyuma utaona jinsi unavyo jichanganya kwenye maelezo yako.... Alafu unajiita wewe ni doctor...!?