Nini madhara ya kula na kuliwa tigo?

Pengine mada ilishawahi kujadiliwa siku zilizopita ila naomba Docs. mnifahamishe in simple language madhara ya kitabibu/kiafya ya kula na kuliwa Tigo. Napoangalia 'X' naona kama wanafaidi sana. Pia naona wale wanaoliwa Tigo hawana uchafu, je wanafanyaje ku-empt nanii zao?
Nawasilisha!!

90% ya wanaokula TIGO anapofikia umri wa miaka 50 huwa wanapata ugonjwa wa kuziba mrija wa kutolea mkojo na cancer ya kibofu cha mkojo. Sababu: Wakati unapokula TIGO na kukaribia kukojoa shahawa, intraurethal pressure huwa inaongezeka na uretha (mrija wa mkojo) huwa unatanuka na kuwa mpana kiasi cha kuweza kuvuta chembechembe za mavi na kuingia kwenye mrija wa mkojo, hizi chembechembe zikirundikana sana huwa zinakuwa nyingi na kusababisha mrija kuziba na zikikaa kwa muda mrefu sana zinasababisha caner kuanzia kwenye mrija hadi kwenye kibofu cha mkojo.

Ukiliwa TIGO, sphinter zinacontrol haja kubwa isitoke na kurundikana kwenye rectum huwa zinalegea, zikisha legea tu unashindwa kuweza kucontrol haja kubwa na inaweza kukutoka bila ya wewe kujijua, kwa mwanamke huwa hina madhara sana, huwa wanashindwa kujifungua kwa njia ya kawaida, kila akisukuma mtoto, haja kubwa inamtoka bila taarifa.
 
Hatari zilizoko kwenye ngono ya nyuma

• Uchafu: Ushoga unawaweka wahusika katika hali ya hatari ya uambukizi kwa sababu ya IDADI KUBWA YA VIINI VYA MAAMBUKIZI. Hii ni hatari kubwa sana hasa uume inapotumbukizwa kwenye tundu ya kutolea kinyesi kwanza halafu kwenye tundu ya tupu ya mwanamke.

• Magonjwa ya kuambukizwa: Magonjwa yanayoambatana na ngono ya nyuma ni HIV, saratani ya tundu ya mav.i na yale yanayopatikana kwenye mav.i kwa mfano: kuambukizwa kwa njia ya mkojo (UTIs), amoebiasis, shango, kisonono, salmonellosis, kaswende na mengineo.

• Ushoga ni mojawapo ya ngono hatari SANA kwa uambukizi wa HIV.

• Kuharibika kwa rectum [bakuli] na tundu ya kutolea mav.i—matokeo yake ni kutoweza kuzuia hata mav.i. Kwa kina mama wanao karibia kujifungua upata sana tabu wanaposukuma mtoto kwa ajili ya kuzaa na matokeo yake kutoka kinyesi badala ya mtoto, na hii inasababisha madhara kwa mama na mtoto.

• Ukumbuke hata ukitumia kondomu ngono ya nyuma ni hatari sana

NB:
Ikiwa una maswali yoyote tafadhali waulize wauguzi na madaktari katika Zahanati iliyo karibu yako, watakusaidia kwa karibu zaidi.
kutoa kinyesi si ajabu kwenye kuzaa, WANAWAKE WOTE WANAOENDA LEBA HUWA WANATOA KINYESI KWANZA KABLA YA MTOTO. ndio maana ni lazima tuwaheshimu sana wanawake. kwa kifupi ni kwamba, mtoto anapotoka anabana utumbo mkubwa halafu anakamua kinyesi chote kinatoka, kikiisha ndo yeye anatoka...uliza madaktari...ukienda labour, ukisikia mama anasema "nesi nataka kwenye chooni"nesi anamwambia.. "" K.UNYA HAPOHAPO" nitazoa...ujue amejua kuwa mtoto sasa anakaribia.....wanaume wengi hatujui, ila wanawake tu ndo wanajua hili na huwa wanaweka siri...mamamkwe pia au ndugu yako yeyote aliyeenda na mkeo leba wakimaliza lazima atapewa vitenge vya kufua, mle kwenye vitenga mmejaa mav.i....hakuna mwanamke anayeenda leba asinye mavi....uliza wao watakwambia.

MADHARA YA TIGO, ni kwamba, mwanamke akienda leba, akitaka kusukuma mtoto, break za tigo zinakuwa zimelegea hivyo zinatoa hewa ovyo na pumzi badala ya kubanwa inatokea tigo tu na mtoto anashindikana kusukumwa, matokeo yake wanaweza kuingiza kwenye tigo vitenge hata viwili vitatu ili kuzima tigo na uwezo wa kusukuma mtoto upatikane....tigo pia inaziba mirija ya uzazi ya mwanaume kwa chembechembe za m.avi.....tigo ni mbaya sana....sijawahi kula tigo na sitakuja kufanya dhambi hiyo.
 
kutoa kinyesi si ajabu kwenye kuzaa, WANAWAKE WOTE WANAOENDA LEBA HUWA WANATOA KINYESI KWANZA KABLA YA MTOTO. ndio maana ni lazima tuwaheshimu sana wanawake. kwa kifupi ni kwamba, mtoto anapotoka anabana utumbo mkubwa halafu anakamua kinyesi chote kinatoka, kikiisha ndo yeye anatoka...uliza madaktari...lazima atapewa vitenge vya kufua, mle kwenye vitenga mmejaa mav.i....hakuna mwanamke anayeenda leba asinye mavi....uliza wao watakwambia.

Hizo ni stori za mitaani tu, hakuna kitu kama icho... Ukiona Mama anajifungua na kutoa kinyesi basi ujuwe kuna tatizo hapo.

Mimi nimeshuhudia zaidi ya mara 20, wanawake wakijifungua, uku tulipo kuna vipindi LIVE vya wanawake wakijifungua, na hakuna swala la kutoka kinyesi kama unavyodai.

Afrika nimeshuhudia wadada wakijifungua, na hakuna kitu kama iko.
 
Hizo ni stori za mitaani tu, hakuna kitu kama icho... Ukiona Mama anajifungua na kutoa kinyesi basi ujuwe kuna tatizo hapo.

Mimi nimeshuhudia zaidi ya mara 20, wanawake wakijifungua, uku tulipo kuna vipindi LIVE vya wanawake wakijifungua, na hakuna swala la kutoka kinyesi kama unavyodai.

Afrika nimeshuhudia wadada wakijifungua, na hakuna kitu kama iko.
umeshuhudia wanawake wachache kuliko nilioshuhudia mimi. pia, uliza dr yeyote au nesi wa tz....pia usilinganishe wanawake wa ulaya na wa africa, wa ulaya wanakula vyakula vilaini na wa africa wanakula ugali, viazi, wali na ndizi....wa ulaya wana uelewa hivyo wanajua kuwa wakikaribia kujifungua wale vyakula vya aina gani, wa hapa afrika hadi siku ya mwisho kwenda leba wanakula ugali sahani zima......usidanganywe na izo za youtube ambazo mtu yeyote anaweza kuangalia hata hapa mimi nikibonyeza tu kama nimejisajili kuwa nina umri zaidi ya miaka 18 zinafunguka...hao wanakuwa wame edit sana mavi yasionyeshwe....kifupi ni kwamba, wote wanatoa ma.vi, mkeo ametoa ma.vi kama umeoa na una watoto, wazazi wetu pia walitoa kabla sisi hatujazaliwa...ndo maana laana ya mama ni balaaa..tuwaheshimu wanawake jamani....wana mzigo mzito.
 
umeshuhudia wanawake wachache kuliko nilioshuhudia mimi. pia, uliza dr yeyote au nesi wa tz....pia usilinganishe wanawake wa ulaya na wa africa, wa ulaya wanakula vyakula vilaini na wa africa wanakula ugali, viazi, wali na ndizi....wa ulaya wana uelewa hivyo wanajua kuwa wakikaribia kujifungua wale vyakula vya aina gani, wa hapa afrika hadi siku ya mwisho kwenda leba wanakula ugali sahani zima......usidanganywe na izo za youtube ambazo mtu yeyote anaweza kuangalia hata hapa mimi nikibonyeza tu kama nimejisajili kuwa nina umri zaidi ya miaka 18 zinafunguka...hao wanakuwa wame edit sana mavi yasionyeshwe....kifupi ni kwamba, wote wanatoa ma.vi, mkeo ametoa ma.vi kama umeoa na una watoto, wazazi wetu pia walitoa kabla sisi hatujazaliwa...ndo maana laana ya mama ni balaaa..tuwaheshimu wanawake jamani....wana mzigo mzito.
Si kweli maneno yako, binafsi nimeingia leba zaidi ya mara tano (5) na nimeshuhudia wanawake wakijifungua, tena uko uko Afrika (Bongo) na sikuwahi kuona hivyo vinyesi, na kuhusu youtube, sijawahi ona video kwa youtube, nilichokwambia ni kuwa kuna vipindi vya live show vya kuonyesha wakina mama wakijifungua, hao wanaotoa vinyesi wana matatizo yao.
 
Si kweli maneno yako, binafsi nimeingia leba zaidi ya mara tano (5) na nimeshuhudia wanawake wakijifungua, tena uko uko Afrika (Bongo) na sikuwahi kuona hivyo vinyesi, na kuhusu youtube, sijawahi ona video kwa youtube, nilichokwambia ni kuwa kuna vipindi vya live show vya kuonyesha wakina mama wakijifungua, hao wanaotoa vinyesi wana matatizo yao.
wewe ni daktari? ulishawahi ingia leba hapa bongo, lini wakaruhusu kitu kama icho hapa bongo? madaktari na manesi waongee hapa, au tuache wanawake ambao wameshazaa waongee wao hapa....tuache ubishi...jamani kama kuna mwanamke aliyewahi kwenda kwenye zile leba za kajamb.a nani za mwananyamala, muhimbili au hospitali zote za selikali atueleze hilo....ili ubishi uishe...nikisema mimi, ni mwanaume hata nisemeje hamtaniamini....kwasababu si mzaaji.msiongelee wale wa aga khan etc ambao wanachukulia special care, na chumba binafsi.
 
wewe ni daktari? ulishawahi ingia leba hapa bongo, lini wakaruhusu kitu kama icho hapa bongo? madaktari na manesi waongee hapa, au tuache wanawake ambao wameshazaa waongee wao hapa....tuache ubishi...jamani kama kuna mwanamke aliyewahi kwenda kwenye zile leba za kajamb.a nani za mwananyamala, muhimbili au hospitali zote za selikali atueleze hilo....ili ubishi uishe...nikisema mimi, ni mwanaume hata nisemeje hamtaniamini....kwasababu si mzaaji.msiongelee wale wa aga khan etc ambao wanachukulia special care, na chumba binafsi.

Ndio maana nikakwambia kuwa hujawai kuingia maternity ward, unacho kizungumza ni stories za mtaani tu, alafu angalia jinsi unavyo jichanganya sasa, mara wanawake wote, mara wale wa ulaya wanakula vyakula laini, wa Aga Khan wanapata special care, kuwa na msimamo, kama ni wanawake wote basi simamia hoja yako, kama unagawa mafungu, basi tufahamishe wapi na wapi...!

Ila kiukweli ni kuwa ukiona mwanamke anatoa kinyesi wakati wa kujifungua basi ujuwe huyo ana matatizo yake, maana si jambo la kawaida.
 
Ndio maana nikakwambia kuwa hujawai kuingia maternity ward, unacho kizungumza ni stories za mtaani tu, alafu angalia jinsi unavyo jichanganya sasa, mara wanawake wote, mara wale wa ulaya wanakula vyakula laini, wa Aga Khan wanapata special care, kuwa na msimamo, kama ni wanawake wote basi simamia hoja yako, kama unagawa mafungu, basi tufahamishe wapi na wapi...!

Ila kiukweli ni kuwa ukiona mwanamke anatoa kinyesi wakati wa kujifungua basi ujuwe huyo ana matatizo yake, maana si jambo la kawaida.
unfortunately, haujui kama unayeongea naye ni doctor anayeshinda na wagonjwa kila siku, au ni mganga wa kienyeji kama wewe...so, tuachane na hili...waache wanawake waje wathibitishe, tukiongea sisi wanaume unaweza usiamini kwasababu unachokijua ni theory ulizosoma kwenye vitabu na si kushuhudia kwa macho.....labda kama na wewe ni doctor, na kama wewe ni doctor how come katika udaktari wako umewaona 20 tu? ndo maana nikakwambia mimi nimewaona wengi kuliko hao unaowataja hapo, kwahiyo nyamaza kimya kwasababu una lack knowledge.
 
Kwa jinsi wanawake walivyo wasiri kwenye mambo hayo sidhani kama watakuja eleze ukweli,ila ukimya wao hapa ni jibu tosha nachanganya na zangu.
 
Hizo ni stori za mitaani tu, hakuna kitu kama icho... Ukiona Mama anajifungua na kutoa kinyesi basi ujuwe kuna tatizo hapo.

Mimi nimeshuhudia zaidi ya mara 20, wanawake wakijifungua, uku tulipo kuna vipindi LIVE vya wanawake wakijifungua, na hakuna swala la kutoka kinyesi kama unavyodai.

Afrika nimeshuhudia wadada wakijifungua, na hakuna kitu kama iko.

Ndugu,anachokiongeza mkubwa ni kweli..
Huwezi make conclusion kwa only 20 cases,I have massive evidences of that cuz nimeattend women who were in labour hundreds and the scenario iko common sana na wala sio lazima wawe wametumia mtandao wa 071/065..
 
Back
Top Bottom