LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 516
Wanabodi,
Nimekuwa nikipotea njia mida fulani na kujikuta sehemu moja inaitwa kitabu cha uso aka Facebook.
Kwenye hicho kitabu, utakuta mtu katupia picha inaonyesha uso wake basi watu wana'like' sana. Mwingine kaonyesha ameonyoa nywele basi watu wata'like' sana.
Nini maana ya hii kitu?
Nimekuwa nikipotea njia mida fulani na kujikuta sehemu moja inaitwa kitabu cha uso aka Facebook.
Kwenye hicho kitabu, utakuta mtu katupia picha inaonyesha uso wake basi watu wana'like' sana. Mwingine kaonyesha ameonyoa nywele basi watu wata'like' sana.
Nini maana ya hii kitu?