Mtu mbalimbali
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 315
- 413
Habari zenu wanajamvi,
moja kwa moja niende kwenye title ya mada
nimekuwa nikisikia hii kitu ya kuhard reset simu ila sijawahi pata ufumbuzi kamili
naomba kwa anayefahamu vizuri hii kitu anisaidie kujibu maswali haya
1. Nini maana ya PHONE HARD RESETTING?
2. Nini kinatokea baada ya kuhard reset simu (what changes)?
3. Vitu gani huwa vinafutika na vipi vinabaki?
Na maelezo mengine yanayohusiana na hard resetting
Nawasilisha.
moja kwa moja niende kwenye title ya mada
nimekuwa nikisikia hii kitu ya kuhard reset simu ila sijawahi pata ufumbuzi kamili
naomba kwa anayefahamu vizuri hii kitu anisaidie kujibu maswali haya
1. Nini maana ya PHONE HARD RESETTING?
2. Nini kinatokea baada ya kuhard reset simu (what changes)?
3. Vitu gani huwa vinafutika na vipi vinabaki?
Na maelezo mengine yanayohusiana na hard resetting
Nawasilisha.